Fuso tandem vs scania kipisi ipi inabeba mzigo mkubwa?

Fuso tandem vs scania kipisi ipi inabeba mzigo mkubwa?

Cainan

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2017
Posts
461
Reaction score
540
Habarini za za usiku wana jf

Nimekuwa nikiona watu kwenye majadiliano wanasema kwamba fuso tandem inabeba mzigo mkubwa kushinda scania kipisi hii imekaaje mbona scania kipisi ni kubwa kushinda fuso tandem

Ni criteria gani inatumika hapo
 
Kwa hyo kwny mzani uzito wa kipisi unapelekea kupakia mzigo kidogo ili isizid lakin tandem ni nyepese hivo unapelekea kupakia mzigo mkubwa kwa sabab kwny ikibeba mzigo wa kipisi tandem bado inakua inadai
 
Kwa hyo kwny mzani uzito wa kipisi unapelekea kupakia mzigo kidogo ili isizid lakin tandem ni nyepese hivo unapelekea kupakia mzigo mkubwa kwa sabab kwny ikibeba mzigo wa kipisi tandem bado inakua inadai
Na vipi kipisi kikiwa Mende Bado haisaidii?
 
Mende inapikia mzigo mkubwa kuliko tandem na kipisi kwa sabab ya ile axle inayoongezeka
Daah kiongozi naomba unitofautishie kwa uzito kabisa Ili tumalizane kabisa
Fuso tandem Tani ngap____?
Scania kipisi tani ngap_____?
Scania mende tani ngap____?
Nikielewa hapo mtakuwa mmenisaidia kwa kwel
 
Daah kiongozi naomba unitofautishie kwa uzito kabisa Ili tumalizane kabisa
Fuso tandem Tani ngap____?
Scania kipisi tani ngap_____?
Scania mende tani ngap____?
Nikielewa hapo mtakuwa mmenisaidia kwa kwel
Mzani wanaangalia mgawanyo wa uzito kwa kila ekseli pamoja na uzito wa jumla (gari + mzigo)yaani GVM

Fuso & scania yenye ekseli tatu

-Ekseli ya mbele ni tani 8

-Diff zote mbili ni tani 18(tani 9/diff)
-GVM tani 26

Gari yenye ekseli 4 (mende)

-Ekseli mbili za mbele ni tani 15 (yaani tani 7.5/ekseli )

-Diff zote mbili ni tani 18(tani 9/diff)
-GVM tani 33

Lakini pia swala la gari ipi inabeba zaidi hutegemeana na aina ya mzigo unaobebwa.
 
Mzani wanaangalia mgawanyo wa uzito kwa kila ekseli pamoja na uzito wa jumla (gari + mzigo)yaani GVM

Fuso & scania yenye ekseli tatu

-Ekseli ya mbele ni tani 8

-Diff zote mbili ni tani 18(tani 9/diff)
-GVM tani 26

Gari yenye ekseli 4 (mende)

-Ekseli mbili za mbele ni tani 15 (yaani tani 7.5/ekseli )

-Diff zote mbili ni tani 18(tani 9/diff)
-GVM tani 33

Lakini pia swala la gari ipi inabeba zaidi hutegemeana na aina ya mzigo unaobebwa.
Shukrani mkuu hapa nimekupata
 
Mimi napenga iwe na chassis ndefu ila isiende juu sana ...hivi zile body zinachongeshwa wapi?
Siku hizi body zinajengwa sehemu nyingi sana! Karibu majiji yote yana watu wa kujenga body.

2014 nilikatiza mtaa mmoja mbeya, nikakuta jamaa watatu wamevimba wanajenga body ya bus.
 
Habarini za za usiku wana jf

Nimekuwa nikiona watu kwenye majadiliano wanasema kwamba fuso tandem inabeba mzigo mkubwa kushinda scania kipisi hii imekaaje mbona scania kipisi ni kubwa kushinda fuso tandem

Ni criteria gani inatumika hapo
Mwanzo tandem fuso ilikuwa Gmv imeizidi mende za scania fuso ilikuwa tan 17 na mende tana 15 lakin upepo umechange fuso nyingi ni 15-17 wakati mende zimeongezewa kibali inabeba 20 tan
 
Habarini za za usiku wana jf

Nimekuwa nikiona watu kwenye majadiliano wanasema kwamba fuso tandem inabeba mzigo mkubwa kushinda scania kipisi hii imekaaje mbona scania kipisi ni kubwa kushinda fuso tandem

Ni criteria gani inatumika hapo
Kwa nyoongeza ni kwamba fuso zenye specifications sawa na scania fuso Ina mwendo na inabeba mzigo mkubwa kuliko scania. super great yenye double front axle ukilinganisha na scania kipisi yenye double front axle fuso inachukua point zote mwendo na uwezo wa kubeba cargo
 
Back
Top Bottom