Saw kila la herKabisa mkuu hujakosea.
Horse anauzaje na trailer anauzaje? Nikivitaka separatelyKabisa mkuu hujakosea.
Sawa sawa mkuu, kwa upande wa magari makubwa na trailer nimeeleza kwenye nyuzi nyingi humu ndani hass zinazohusu ushauri juu ya tasnia nzima ya trucking.Jalibu kuelezea sifa za gali ili uweze kumshawishi mteja ,yaani hiyo prado umeiyelezea kwa uchache sanaaa watu wanataka kujua mengi wengine wageni wa magali hushawishiwa na matangazo tu, sifa za ziada kama airbag.spea tail.nk
Io 70m hoz na tela au?Wakuu kuna gari kalii sana. Hazina shida yoyote, zipo kazini muda wote.
Kila moja horse na trailer yake ni 70M.
Gari zipo Dar, ukitaka kukagua njoo na mafundi wako kisha nicheki kwa 0755963775
View attachment 2143689
View attachment 2143690
View attachment 2143691
View attachment 2143692
View attachment 2143693