Futari ya DC Mgomi yawakutanisha Wana- Ileje

Futari ya DC Mgomi yawakutanisha Wana- Ileje

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
IFTARI YA DC YAWAKUTANISHA PAMOJA WANAILEJE.

Mkuu wa wilaya ya Ileje mkoani Songwe Mhe. Farida Mgomi ameandaa Futari iliyowakutanisha waislamu, viongozi wa dini ya kikristo,viongozi wa vyama vya siasa viongozi wa Mila na viongozi wengine wa serikali.

Mhe. Mgomi ameandaa Futari hiyo iliyowakutanisha Leo Aprili 18,2023 katika Ikulu ndogo ya wilaya hiyo.

Mhe.Mgomi amewasihi waisilamu na wakristo kuwa wamoja kwa kuzingatia vitabu takatifu na kila mtu kwa nafasi yake wapendane bila kujali itikadi ya kidini.

Katika hatua nyingine Mhe. Mgomi ameungana na viongozi wengine kukemea masuala ya ushoga huku akisema serikali haitavumilia watu wanaoendekeza mapenzi ya jinsia Moja .

"Tutumie kipindi hiki Cha ramadhani kukemea vitendo viovu vinavyohatarisha utamaduni wetu ikiwa ni pamoja na kuwaripoti watu au taasisi zinazotoa elimu ya kujihusisha na mapenzi ya jinsi Moja", amesema Mgomi.

Akizungumza katika hafla hiyo shekhe wa wilaya Khamis Adamu amesema lengo la Futari hiyo ni kujumuika pamoja katika mwezi mtukufu wa Ramadhan kama ishara ya kutenda wema, kufanya ibada na kuimarisha undugu katika kuienzi dhana ya toba na upendo kwa wananchi wake.

Kwa upande wao viongozi wa dini mbalimbali walipopata fursa ya kuzungumza akiwepo Paroko Parokia ya Itumba Sililo Mwankuga Mwalyoyo amemshukuru mkuu wa wilaya kwa kuandaa ibada ya futari iliyowakutanisha pamoja katika kipindi kipindi hiki Cha ramadhani hivyo kuahidi umoja huo uendele bila kujali itikadi ya dini.

"Sisi kama Viongozi wa dini kupitia makutano haha tutumie fursa ya kuwaimba wanaileje kuliombea taifa Ili liondokane na vitendo vya jinsia Moja na kuyakemea kwa pamoja kama viongozi wa dini", amesema Mwalyoyo.

Akizungumza kwaniaba ya viongozi wa Mila Chifu Msongole amesema viongozi wa dini na Mila watumie umoja huo wa Iftari ya iliyoandaliwa na mkuu wa kujenga umoja ,upendo na mshikamano Kwa kuenzi Mila na desturi za kitanzania
 

Attachments

  • IMG-20230419-WA0019.jpg
    IMG-20230419-WA0019.jpg
    149.5 KB · Views: 3
  • IMG-20230419-WA0020.jpg
    IMG-20230419-WA0020.jpg
    158.8 KB · Views: 4
  • IMG-20230419-WA0021.jpg
    IMG-20230419-WA0021.jpg
    184.7 KB · Views: 3
  • IMG-20230419-WA0022.jpg
    IMG-20230419-WA0022.jpg
    188.8 KB · Views: 5
  • IMG-20230419-WA0013.jpg
    IMG-20230419-WA0013.jpg
    84.1 KB · Views: 3
  • IMG-20230419-WA0014.jpg
    IMG-20230419-WA0014.jpg
    100.1 KB · Views: 3
  • IMG-20230419-WA0015.jpg
    IMG-20230419-WA0015.jpg
    136.4 KB · Views: 3
  • IMG-20230419-WA0016.jpg
    IMG-20230419-WA0016.jpg
    105.1 KB · Views: 4
  • IMG-20230419-WA0018.jpg
    IMG-20230419-WA0018.jpg
    154.2 KB · Views: 4
  • IMG-20230419-WA0017.jpg
    IMG-20230419-WA0017.jpg
    150.4 KB · Views: 4
  • IMG-20230419-WA0009.jpg
    IMG-20230419-WA0009.jpg
    92.4 KB · Views: 3
  • IMG-20230419-WA0010.jpg
    IMG-20230419-WA0010.jpg
    84.4 KB · Views: 4
  • IMG-20230419-WA0011.jpg
    IMG-20230419-WA0011.jpg
    143.7 KB · Views: 3
  • IMG-20230419-WA0012.jpg
    IMG-20230419-WA0012.jpg
    113.7 KB · Views: 4
  • IMG-20230419-WA0007.jpg
    IMG-20230419-WA0007.jpg
    147.4 KB · Views: 4
  • IMG-20230419-WA0008.jpg
    IMG-20230419-WA0008.jpg
    130.5 KB · Views: 3
  • IMG-20230419-WA0005.jpg
    IMG-20230419-WA0005.jpg
    110 KB · Views: 4
  • IMG-20230419-WA0006.jpg
    IMG-20230419-WA0006.jpg
    147.2 KB · Views: 3
  • IMG-20230419-WA0002.jpg
    IMG-20230419-WA0002.jpg
    180 KB · Views: 4
  • IMG-20230419-WA0003.jpg
    IMG-20230419-WA0003.jpg
    151.4 KB · Views: 3
  • IMG-20230419-WA0004.jpg
    IMG-20230419-WA0004.jpg
    176 KB · Views: 3
  • IMG-20230419-WA0013.jpg
    IMG-20230419-WA0013.jpg
    121.5 KB · Views: 3
IFTARI YA DC YAWAKUTANISHA PAMOJA WANAILEJE.

Mkuu wa wilaya ya Ileje mkoani Songwe Mhe. Farida Mgomi ameandaa Futari iliyowakutanisha waislamu, viongozi wa dini ya kikristo,viongozi wa vyama vya siasa viongozi wa Mila na viongozi wengine wa serikali.

Mhe. Mgomi ameandaa Futari hiyo iliyowakutanisha Leo Aprili 18,2023 katika Ikulu ndogo ya wilaya hiyo.

Mhe.Mgomi amewasihi waisilamu na wakristo kuwa wamoja kwa kuzingatia vitabu takatifu na kila mtu kwa nafasi yake wapendane bila kujali itikadi ya kidini.

Katika hatua nyingine Mhe. Mgomi ameungana na viongozi wengine kukemea masuala ya ushoga huku akisema serikali haitavumilia watu wanaoendekeza mapenzi ya jinsia Moja .

"Tutumie kipindi hiki Cha ramadhani kukemea vitendo viovu vinavyohatarisha utamaduni wetu ikiwa ni pamoja na kuwaripoti watu au taasisi zinazotoa elimu ya kujihusisha na mapenzi ya jinsi Moja", amesema Mgomi.

Akizungumza katika hafla hiyo shekhe wa wilaya Khamis Adamu amesema lengo la Futari hiyo ni kujumuika pamoja katika mwezi mtukufu wa Ramadhan kama ishara ya kutenda wema, kufanya ibada na kuimarisha undugu katika kuienzi dhana ya toba na upendo kwa wananchi wake.

Kwa upande wao viongozi wa dini mbalimbali walipopata fursa ya kuzungumza akiwepo Paroko Parokia ya Itumba Sililo Mwankuga Mwalyoyo amemshukuru mkuu wa wilaya kwa kuandaa ibada ya futari iliyowakutanisha pamoja katika kipindi kipindi hiki Cha ramadhani hivyo kuahidi umoja huo uendele bila kujali itikadi ya dini.

"Sisi kama Viongozi wa dini kupitia makutano haha tutumie fursa ya kuwaimba wanaileje kuliombea taifa Ili liondokane na vitendo vya jinsia Moja na kuyakemea kwa pamoja kama viongozi wa dini", amesema Mwalyoyo.

Akizungumza kwaniaba ya viongozi wa Mila Chifu Msongole amesema viongozi wa dini na Mila watumie umoja huo wa Iftari ya iliyoandaliwa na mkuu wa kujenga umoja ,upendo na mshikamano Kwa kuenzi Mila na desturi za kitanzania
Hizi dini hizi
 
IFTARI YA DC YAWAKUTANISHA PAMOJA WANAILEJE.

Mkuu wa wilaya ya Ileje mkoani Songwe Mhe. Farida Mgomi ameandaa Futari iliyowakutanisha waislamu, viongozi wa dini ya kikristo,viongozi wa vyama vya siasa viongozi wa Mila na viongozi wengine wa serikali.

Mhe. Mgomi ameandaa Futari hiyo iliyowakutanisha Leo Aprili 18,2023 katika Ikulu ndogo ya wilaya hiyo.

Mhe.Mgomi amewasihi waisilamu na wakristo kuwa wamoja kwa kuzingatia vitabu takatifu na kila mtu kwa nafasi yake wapendane bila kujali itikadi ya kidini.

Katika hatua nyingine Mhe. Mgomi ameungana na viongozi wengine kukemea masuala ya ushoga huku akisema serikali haitavumilia watu wanaoendekeza mapenzi ya jinsia Moja .

"Tutumie kipindi hiki Cha ramadhani kukemea vitendo viovu vinavyohatarisha utamaduni wetu ikiwa ni pamoja na kuwaripoti watu au taasisi zinazotoa elimu ya kujihusisha na mapenzi ya jinsi Moja", amesema Mgomi.

Akizungumza katika hafla hiyo shekhe wa wilaya Khamis Adamu amesema lengo la Futari hiyo ni kujumuika pamoja katika mwezi mtukufu wa Ramadhan kama ishara ya kutenda wema, kufanya ibada na kuimarisha undugu katika kuienzi dhana ya toba na upendo kwa wananchi wake.

Kwa upande wao viongozi wa dini mbalimbali walipopata fursa ya kuzungumza akiwepo Paroko Parokia ya Itumba Sililo Mwankuga Mwalyoyo amemshukuru mkuu wa wilaya kwa kuandaa ibada ya futari iliyowakutanisha pamoja katika kipindi kipindi hiki Cha ramadhani hivyo kuahidi umoja huo uendele bila kujali itikadi ya dini.

"Sisi kama Viongozi wa dini kupitia makutano haha tutumie fursa ya kuwaimba wanaileje kuliombea taifa Ili liondokane na vitendo vya jinsia Moja na kuyakemea kwa pamoja kama viongozi wa dini", amesema Mwalyoyo.

Akizungumza kwaniaba ya viongozi wa Mila Chifu Msongole amesema viongozi wa dini na Mila watumie umoja huo wa Iftari ya iliyoandaliwa na mkuu wa kujenga umoja ,upendo na mshikamano Kwa kuenzi Mila na desturi za kitanzania
Hawa sio wanachuoni wa kiisilamu katu,kwanza kitendo cha mwanamke wa kiisilamu kukubali kuwa kiongozi juu ya wanaume anakuwa kaisha ukana uisilamu iweje akualike kwenda kwake kula njaa njaa mbaya mbona magimbi na mihogo na ndizi na utumbo wa.ng,ombe vinauzwa bei poa tu au kuna bahasha?bora kula futari ya Magufuli kuliko mwanamke anae jiita mtawala hali yakuwa ni muisilamu
 
Back
Top Bottom