nilizobold zote ni kitu kimoja uji wa muhongo na uji wa pilipili naona ulivimbiwa ndo ukaja kupostMuhogo wa nazi,vitumbua, chai ya kichwa, wali wa nazi, mchuzi chukuchuku,mkate wa maji, mkate wa kumimina, vibibi, uji wa pilipili, uji wa muhog, maandazi, mahamri, tambia, maharage, juis ya ukwaju,juisi ya limao, sharbati(milkshake)
Karibuni
Ramadhan Kareem
amu sjui nikutafute kabla ya Ramadhan ijayo ikiwa tutafika? Maana yaonyesha uko vema sana anga hizo, na mie mahanjumati ndio ugonjwa wangu. Tehetehe, Ramadhan kareemnilizobold zote ni kitu kimoja uji wa muhongo na uji wa pilipili naona ulivimbiwa ndo ukaja kupost
red tote ni maandazi sema maamri makubwa hayana nyama ndani ni kama vile wali wa mafuta tupu na wali wa kupika na kutia karoti.
Blue lazima koo lako lilichubuka.
Njano lazima uliharisha sana.
Mwisho uliliumiza tumbo lako tu
amu sjui nikutafute kabla ya Ramadhan ijayo ikiwa tutafika? Maana yaonyesha uko vema sana anga hizo, na mie mahanjumati ndio ugonjwa wangu. Tehetehe, Ramadhan kareem
Naona ati, sie wengine huwa tunavuta haraka haruf, zenu; wacha nisiendelee maana hili si jukwaa la wakubwa la "shule" ya upishi. Hahaha,ha ha ha karibu jamani looo hapa ndo penyewe
Naona ati, sie wengine huwa tunavuta haraka haruf, zenu; wacha nisiendelee maana hili si jukwaa la wakubwa la "shule" ya upishi. Hahaha,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nilizobold zote ni kitu kimoja uji wa muhongo na uji wa pilipili naona ulivimbiwa ndo ukaja kupost
red tote ni maandazi sema maamri makubwa hayana nyama ndani ni kama vile wali wa mafuta tupu na wali wa kupika na kutia karoti.
Blue lazima koo lako lilichubuka.
Njano lazima uliharisha sana.
Mwisho uliliumiza tumbo lako tu
Naona ati, sie wengine huwa tunavuta haraka haruf, zenu; wacha nisiendelee maana hili si jukwaa la wakubwa la "shule" ya upishi. Hahaha,
Khaaaaaisee hii nayo ni kali
Khaaaa