Hahahahah.. Nakumbuka kipindi kile yupo jangwani, hawa mwajuma ndala ndefu walikuja Songea kupambana na WANALIZOMBE... Jama mba akafunga goli rahisi sana afu alikua offside.. Lilipokataliwa alilaumu sana na kusema eti... Alifunga goli zuri pengine kuliko yote yalio fungwa katika dimba lile...