katika kusoma kwangu kwote nlifundishwa kuwa ZINJATHROPUS liligunduliwa mwaka 1959,..
Leo mtangazaji wa channel ten UPENDO MSUYA kasema fuvu
hili liligunduliwa mwaka 1957.....
Watu waliosoma anthropology, history, tourism, archeology nisaidieni mm ndio sijui au?
Leo mtangazaji wa channel ten UPENDO MSUYA kasema fuvu
hili liligunduliwa mwaka 1957.....
Watu waliosoma anthropology, history, tourism, archeology nisaidieni mm ndio sijui au?