Fyalafyala:-Hii ndio tabia ya CCM

Fyalafyala:-Hii ndio tabia ya CCM

Heci

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2016
Posts
3,591
Reaction score
6,114
Uroho, ulafi na umero.
FB_IMG_15737231015480965.jpg
 
Huyo mtu muonekano wake tu hana hadhi ya uo mlo...itakua alikua kwenye shindano la makulaji.
 
Huyo mtu muonekano wake tu hana hadhi ya uo mlo...itakua alikua kwenye shindano la makulaji.
Nilipata demu nikiwa kijana kijana, tukatoka kwenda naye Ngwasuma, 2007 hiyo Ngwasuma wanapiga Makumbusho Village
. Ukumbi ulikuwa unajaza sana, Ngwasuma walikuwa wanapendwa sana.
Watu walikuwa wakitoka Tunduma, Mwanza , Kahama etc kuja kuwaona Ngwasuma, hivyo ni lazima uingie ukumbini mapema ukitaak ukae.

Saa 1⅞ jioni niko na huyu binti Ngwasuma, nikaitisha mbuzi portions mbili na yeye chips na robo kuku, nikamwambia agiza nusu kuku akikushinda nitakusaidia.

Mezani nimelaza maji na konyagi kubwa , zamani ilikuwa ya chupa ya round, sio hili jibapa.
Binti aliagiza Coca-Cola nne, ndani ya muda mfupi akawa amezifuta na kaagiza nyingine.

Hadi tunatoka mziki demu kazinywa koka na soda nyingine mchanganyiko zaidi ya 19, kisa hanywi pombe.
 
Back
Top Bottom