G.Lema amekiri kuwa alikuwa mstari wa mbele kuichafua nchi kimataifa

G.Lema amekiri kuwa alikuwa mstari wa mbele kuichafua nchi kimataifa

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Inasikitisha sana kuona aliyekuwa kijana ambaye tulitegemea awe mzalendo ndiye alikuwa akichangisha fedha ili kuhudumia kampeni chafu ya kumchafua Magufuli kimataifa.
Kukiri kwake kunaongeza chuki dhidi yake na washirika wake kutoka kwa jamii ya watanzania iliyompenda John Pombe Magifuli.

Mungu atawaumbua wote waliomnanga Magufuli na watasema yote kwa ukamilifu!!
 
Inasikitisha sana kuona aliyekuwa kijana ambaye tulitegemea awe mzalendo ndiye alikuwa akichangisha fedha ili kuhudumia kampeni chafu ya kumchafua Magufuli kimataifa.
Kukiri kwake kunaongeza chuki dhidi yake na washirika wake kutoka kwa jamii ya watanzania iliyompenda John Pombe Magifuli.

Mungu atawaumbua wote waliomnanga Magufuli na watasema yote kwa ukamilifu!!
Magufuli sio nchi, bali alikuwa kiongozi muovu. Kupendwa na baadhi yenu haamaanishi alikuwa kiongozi msafi.
 
Magufuli sio nchi, bali alikuwa kiongozi muovu. Kupendwa na baadhi yenu haamaanishi alikuwa kiongozi msafi.
Wewe ni mjinga tu! Ndo unaamini saizi Samia ni mwema lakini ndo kiongozi mchafu na mnafiki hujawahi ona!
Anauma na kupuliza na matendo mengi machafu ila kwa vile kaachiwa muishi mnavyotaka ndo maana unaona ni mwema wewe vyeti feki!
 
Kwani ni uongo? Magufuli hakuwa muuaji?

Unajua watu waliopigwa risasi Kwenye HIFADHI YA RUBONDO? Kule ilikuwa ni zaidi ya mauaji ya halaiki. Tena wengi vijana wadogo maskini. Wakabaki wajane na watoto wasio na baba zao.

Kumtetea magufuli unahitaji uwe mpumbavu wa mwisho.

Katesa vijana kwa kuwanyima ajira katika kipindi chake cha uongozi, yupo bize na madaraja( tutakula hayo madaraja?) Yeye mwenyewe hajawahi kujiajiri kang'ang'ana kwenye siasa zaidi ya miaka 20.

Katumbua watumishi. Wakaishia kuishi maisha ya tabu na dhiki.

Mwenye utimamu wa akili, magufuli alifaa kuwa mchunga ng'ombe huko maporini lakini sio kuongoza binadamu. Aisee.

Mungu aliliokoa Taifa kwa Baba yule. Na alivyomnafiki utasikia mniombee.
We' tukuombee uendelee kututesa.
 
Inasikitisha sana kuona aliyekuwa kijana ambaye tulitegemea awe mzalendo ndiye alikuwa akichangisha fedha ili kuhudumia kampeni chafu ya kumchafua Magufuli kimataifa.
Kukiri kwake kunaongeza chuki dhidi yake na washirika wake kutoka kwa jamii ya watanzania iliyompenda John Pombe Magifuli.

Mungu atawaumbua wote waliomnanga Magufuli na watasema yote kwa ukamilifu!!
Kuichafua au kusema madhaifu yake, ukweli uliopo bila unafiki?
Lema alikuwa akisema ukweli halisi wa siasa zetu za kishamba, mpinzani kuonekana adui na kila aina ya uchafu
 
Wewe ni mjinga tu! Ndo unaamini saizi Samia ni mwema lakini ndo kiongozi mchafu na mnafiki hujawahi ona!
Anauma na kupuliza na matendo mengi machafu ila kwa vile kaachiwa muishi mnavyotaka ndo maana unaona ni mwema wewe vyeti feki!
Acha kupanick dogo, magufuli alikuwa kiongozi muovu, hutaki jinyonge.
 
Kwani ni uongo? Magufuli hakuwa muuaji?

Unajua watu waliopigwa risasi Kwenye HIFADHI YA RUBONDO? Kule ilikuwa ni zaidi ya mauaji ya halaiki. Tena wengi vijana wadogo maskini. Wakabaki wajane na watoto wasio na baba zao.

Kumtetea magufuli unahitaji uwe mpumbavu wa mwisho.

Katesa vijana kwa kuwanyima ajira katika kipindi chake cha uongozi, yupo bize na madaraja( tutakula hayo madaraja?) Yeye mwenyewe hajawahi kujiajiri kang'ang'ana kwenye siasa zaidi ya miaka 20.

Katumbua watumishi. Wakaishia kuishi maisha ya tabu na dhiki.

Mwenye utimamu wa akili, magufuli alifaa kuwa mchunga ng'ombe huko maporini lakini sio kuongoza binadamu. Aisee.

Mungu aliliokoa Taifa kwa Baba yule. Na alivyomnafiki utasikia mniombee.
We' tukuombee uendelee kututesa.
Umeongea kama ni mhanga wa vyeti fake..........najua huwezi kumpenda .........ila wacha ikuingie ndani kabisa maana wewe huna akili
 
Inasikitisha sana kuona aliyekuwa kijana ambaye tulitegemea awe mzalendo ndiye alikuwa akichangisha fedha ili kuhudumia kampeni chafu ya kumchafua Magufuli kimataifa.
Kukiri kwake kunaongeza chuki dhidi yake na washirika wake kutoka kwa jamii ya watanzania iliyompenda John Pombe Magifuli.

Mungu atawaumbua wote waliomnanga Magufuli na watasema yote kwa ukamilifu!!
Amekiri kuichafua nchi🙄😳
How?
Maana mimemsikiliza pres zake zote wapi kachafua nchi,au mi ndo sijamuelewa?
 
Back
Top Bottom