PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Kuanzia May 19 - 21, 2023, vilifanyika vikao viwili vikubwa na muhimu. Mikutano hiyo ni ya G7 na C5.
Mkutano wa kwanza ulijadili usalama wa Ulaya na US, na wa pili ulijadili usalama wa Asia.
Urusi haikuwaalikwa katika mkutano wowote kati ya hiyo.
Nawatakieni katikati ya Wiki njema.
Mkutano wa kwanza ulijadili usalama wa Ulaya na US, na wa pili ulijadili usalama wa Asia.
Urusi haikuwaalikwa katika mkutano wowote kati ya hiyo.
Nawatakieni katikati ya Wiki njema.