G7 Waahidi kutoa msaada zaidi huku Ukraine wakijiandaa kuanza mashambulizi

Kumbe wanangoja misaada? Sasa misaada isipokuja inakuaje?[emoji23]
 
Huyu keshakua chizi tushamwona mda tu,a cha na nae
 
Fuatilia matamshi ya hivi karibuni ya Waziri wa Ulinzi wa UK utakuja hapa kutuambia!
Vita ni Mbinu! Sio kilichovuja kimevuja kweli[emoji56][emoji2][emoji2]Kuna kitu kinaitwa Kwa kiswahili ulaghai ktk medani!
Nikupe mfano hai!; kwenye medani unaweza ukakuta Maiti ya adui imebeba peck Limejaa mabulungutu ya dola $ na chache zimezagaa! Kwa uchu wako utaanza kuziokota! Kumbe ni champ cha mtego! pembeni Kuna Ambush, Sniper, au chini ya $ Kuna bomu!
Sio unaokota okota eti Siri umefika! Take care!


Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
 
Najiongeza na lipi ?

Kabla hawajapeleka siraha mkoa moja ulishachukuliwa(Crimea) ,,walipopeleka siraha mikoa minne imechukuliwa.

Ninachokushaangaa Mimi toka 2014 wanatoa mafunzo na wameshindwa,inakuwaje Leo waweze?
Kwani siku zote ni jumatatu?!

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
 
Ile iliwekwa Kim kimkakati iwe meat grinder ya jeshi la zerozensky na ndicho kilichotokea.
Nimecheka Kwa ulicho andika[emoji2][emoji2][emoji2]
Yaani Kama umebakwa unasubiri mbakaji spare goli ili iwe ushahidi mbele ya Sheria[emoji15][emoji12]

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
 
Pro-NATO bhana,
Yaan Mnanifurahisha mnavojitekenya na kucheka wenyewe[emoji1]

Vipi zile Abraham tanks,game changer

Mlisema mwezi March,
sahv tuko April, Kimya Sana,
Zimeshafyeka wangapi mpk sasa[emoji38]
kwan feb 2022 alikuwa kafika wap ? na sasa hv yupo wap?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…