Gabriel Gerald Geay aanzisha kampuni ya Utalii

Gabriel Gerald Geay aanzisha kampuni ya Utalii

Melubo Letema

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2020
Posts
416
Reaction score
414
IMG_9323.jpeg


Mwanariadha wa kimataifa wa mbio ndefu (marathon) Gerald Gabriel Geay ameanzisha kampuni ya utalii inayoitwa Geay Safaris and Tours ambapo makao makuu yake yapo huko Arusha, Tanzania.
IMG_9322.jpeg

Geay ni mwanariadha mwenye mafanikio na mwenye udhamini wa kampuni ya adidas, pia amejichukulia umaarufu Kwa kuwa na rekodi ya Taifa kwa muda wa 2:03:00 kwenye mbio za kilomita 42.195 pamoja na kushinda mbio mbalimbali duniani.
 

Attachments

  • IMG_9322.jpeg
    IMG_9322.jpeg
    408.6 KB · Views: 8
Back
Top Bottom