Gabriel Gerald Geay Kushiriki mbio za Sydney Marathon

Gabriel Gerald Geay Kushiriki mbio za Sydney Marathon

Melubo Letema

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2020
Posts
416
Reaction score
414
1689277649905.png

Mwanariadha wetu, wa kimataifa wa riadha tanzania , Gabriel Gerald Geay anatarajia kushiriki mashhindano ya Sydney - Marathon , inayotarajiwa kufanyika tarehe 17 Septemba, 2023.

Anaenda kushiriki na wanariadha wengine wenye muda bora.

Geay, ni mwanariadha wa 9 bora duniani kwa muda wake wa saa mbili na dakika tatu (2:03:00) kwa mbio za kilomita arobaini na mbili (42K).
Kila la heri kwake.

IMG_2701.jpeg
 
Write your reply...huyu mwamba hayupo budapest hungary? Kuna nn
Hakushiriki, anaenda Australia 17 /09, hivyo hawezi kushiriki marathon mbili kwa mwezi mmoja. Pili, huko kampuni yake imemuahidi pesa ndefu
 
Back
Top Bottom