Gabrieli Jesu, huyu Dogo ndo mrithi wa Ronaldinho pale Brazil

Achana na huyo choka mbaya, pale barca wachezaji muhimu kama Pogba,De maria,Dybala,suarez wa Villa real..hawa ndiyo tunawahitaji..na si huyo asiejulikana...labda wampeleke yebo yebo ama ndala fc hapo sawa.
 
Reactions: PNC
Achana na huyo choka mbaya, pale barca wachezaji muhimu kama Pogba,De maria,Dybala,suarez wa Villa real..hawa ndiyo tunawahitaji..na si huyo asiejulikana...labda wampeleke yebo yebo ama ndala fc hapo sawa.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] bora ungekaa kimya
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] bora ungekaa kimya

Hahahaa mkuu nimeshindwa kuvumilia aisee maana ukimcheki mchezaji mwenyewe mhh basi tu..acha nikae kimya tu.
 
Reactions: PNC
Hahahaa mkuu nimeshindwa kuvumilia aisee maana ukimcheki mchezaji mwenyewe mhh basi tu..acha nikae kimya tu.
Mchezaji mwenyewe nini? sasa Barca wangemtafuta? acha ujinga kujifanya unajua wakati hujui
 
Achana na huyo choka mbaya, pale barca wachezaji muhimu kama Pogba,De maria,Dybala,suarez wa Villa real..hawa ndiyo tunawahitaji..na si huyo asiejulikana...labda wampeleke yebo yebo ama ndala fc hapo sawa.
Ndo umeandika nin?
 
Mrithi wa ronaldinho? acha utani ww. hakuna kama gaucho ulimwengu huu na sidhani kama atatokea.
 
Dogo ni mzuri, kusema eti mrithi wa Dinho ni matusi makubwa!!!
 
jamani mungu basi angeacha gaucho awe tu kijana hataree hapa eto,hapa gaucho wakati huo messi anaangalia kaka zake akiwa bench huku akiwa amevaa jezi no 30 mgongoni uliza sasa jezi namba 10 mgongoni alikuwa anavaa nani!aaah yaani udambwe udambwe tu
 
Mrithi wa ronaldinho? acha utani ww. hakuna kama gaucho ulimwengu huu na sidhani kama atatokea.
mbona chenga za gaucho ni kopi ya chenga za ronaldo de lima,ambazo lima nae alikopi kwa 'wazee' waliotangulia kasoro chenga moja tu,anachofanya gaucho ni kuongeza madoido
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…