Gachagua: Hata mkombozi wa Dunia hii anaitwa Yesu MNAZARETI, na Hatuwezi kusema ni ukabila!

Gachagua: Hata mkombozi wa Dunia hii anaitwa Yesu MNAZARETI, na Hatuwezi kusema ni ukabila!

Gachagua amesema hakuna Dhambi yoyote wala ukabila unapoutaja Mlima kwa sababu hata Tanzania kuna Mlima Kilimanjaro

Hata mkombozi wa Dunia hii anaitwa " MNAZARETI"

Ahsanteni sana 😀😀
Hata Mimi hiyo I'd yangu ndiko nilikolelewa,Haina maana kuwa nabagua watu,Sina Udini,kabila Wala ukanda nk!
 
Gachagua amesema hakuna Dhambi yoyote wala ukabila unapoutaja Mlima kwa sababu hata Tanzania kuna Mlima Kilimanjaro

Hata mkombozi wa Dunia hii anaitwa " MNAZARETI"

Ahsanteni sana 😀😀
aende Nyeri town huko kwa murima kwa amani sasa asianze kutuhubiria tunachokijua tayari 🐒
 
Gachagua amesema hakuna Dhambi yoyote wala ukabila unapoutaja Mlima kwa sababu hata Tanzania kuna Mlima Kilimanjaro

Hata mkombozi wa Dunia hii anaitwa " MNAZARETI"

Ahsanteni sana 😀😀
Plz gachagua tunakuheshim sana ,usianze kututaja kwenye migogoro yenu,,, tz Kuna mlima ? Kwan kwenu hakuna ?? Kabsaa kama unaondolewa ondoka usimtafute tawi la kushka wakat unasukumwa kutoka kwenye mti wa matunda ,,umeaharibu mwenyewe
 
Plz gachagua tunakuheshim sana ,usianze kututaja kwenye migogoro yenu,,, tz Kuna mlima ? Kwan kwenu hakuna ?? Kabsaa kama unaondolewa ondoka usimtafute tawi la kushka wakat unasukumwa kutoka kwenye mti wa matunda ,,umeaharibu mwenyewe
Umesahau kutaja jina lako na unapotokea "ni mimi Masatu Chacha kutokea Nyamuswa Tanzania. Ujumbe tuendelee kusikiliza DW dira ya Dunia"
 
Gachagua amesema hakuna Dhambi yoyote wala ukabila unapoutaja Mlima kwa sababu hata Tanzania kuna Mlima Kilimanjaro

Hata mkombozi wa Dunia hii anaitwa " MNAZARETI"

Ahsanteni sana 😀😀
So anajilinganisha na Yesu?
 
Back
Top Bottom