johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hata Mimi hiyo I'd yangu ndiko nilikolelewa,Haina maana kuwa nabagua watu,Sina Udini,kabila Wala ukanda nk!Gachagua amesema hakuna Dhambi yoyote wala ukabila unapoutaja Mlima kwa sababu hata Tanzania kuna Mlima Kilimanjaro
Hata mkombozi wa Dunia hii anaitwa " MNAZARETI"
Ahsanteni sana ππ
aende Nyeri town huko kwa murima kwa amani sasa asianze kutuhubiria tunachokijua tayari πGachagua amesema hakuna Dhambi yoyote wala ukabila unapoutaja Mlima kwa sababu hata Tanzania kuna Mlima Kilimanjaro
Hata mkombozi wa Dunia hii anaitwa " MNAZARETI"
Ahsanteni sana ππ
Plz gachagua tunakuheshim sana ,usianze kututaja kwenye migogoro yenu,,, tz Kuna mlima ? Kwan kwenu hakuna ?? Kabsaa kama unaondolewa ondoka usimtafute tawi la kushka wakat unasukumwa kutoka kwenye mti wa matunda ,,umeaharibu mwenyeweGachagua amesema hakuna Dhambi yoyote wala ukabila unapoutaja Mlima kwa sababu hata Tanzania kuna Mlima Kilimanjaro
Hata mkombozi wa Dunia hii anaitwa " MNAZARETI"
Ahsanteni sana ππ
Umesahau kutaja jina lako na unapotokea "ni mimi Masatu Chacha kutokea Nyamuswa Tanzania. Ujumbe tuendelee kusikiliza DW dira ya Dunia"Plz gachagua tunakuheshim sana ,usianze kututaja kwenye migogoro yenu,,, tz Kuna mlima ? Kwan kwenu hakuna ?? Kabsaa kama unaondolewa ondoka usimtafute tawi la kushka wakat unasukumwa kutoka kwenye mti wa matunda ,,umeaharibu mwenyewe
Hata Mimi hiyo I'd yangu ndiko nilikolelewa,Haina maana kuwa nabagua watu,Sina Udini,kabila Wala ukanda nk!
Mm nipo msamala _songeaUmesahau kutaja jina lako na unapotokea "ni mimi Masatu Chacha kutokea Nyamuswa Tanzania. Ujumbe tuendelee kusikiliza DW dira ya Dunia"
Ni Blood sucker...Ruto ni mkabila sn na mjinga
SureNi Blood sucker...
So anajilinganisha na Yesu?Gachagua amesema hakuna Dhambi yoyote wala ukabila unapoutaja Mlima kwa sababu hata Tanzania kuna Mlima Kilimanjaro
Hata mkombozi wa Dunia hii anaitwa " MNAZARETI"
Ahsanteni sana ππ