Gachagua Juu ya Chama cha LGBTQI: "Hio maneno hatutaki, ni mambo ya Kishetani"

Gachagua Juu ya Chama cha LGBTQI: "Hio maneno hatutaki, ni mambo ya Kishetani"

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Siku chache baada ya Mahakama ya Juu nchini Kenya kuruhusu Jamii ya Watu wa LGBTQI kuunda Chama chao, Makamu wa Rais, Rigathi Gachagua amesema kuwa hawawezi kuruhusu kitendo hicho, kwani Rais William Ruto ni Mcha Mungu hivyo atafanya kinachopaswa

"Kwa namna yeyote ile tuna desturi na tamaduni zetu, na wanachokitaka ni kinyume cha maadili, haki na namna yetu ya kuishi, kwa hivyo hayo maneno sisi hatuko hapo" ameeleza
 
Hauwezi ukawa raisi then uwe mcha Mungu ni kitu isiyowezekana kabisa. Thus duniani Hakuna raisi aliyewahi ingia mbinguni, wote wapo kuzimu.
Yeye amewekwa na hao hawezi pingana nao.
 
Wanasiasa usiwaamini

unaweza ukakuta wameshawishi Mahakama iamue ilivyoamua ili wapate mikopo ya Masharti nafuu halafu wanakuja kuzuga wananchi
 
Hauwezi ukawa raisi then uwe mcha Mungu ni kitu isiyowezekana kabisa. Thus duniani Hakuna raisi aliyewahi ingia mbinguni, wote wapo kuzimu.
Yeye amewekwa na hao hawezi pingana nao.
Hata Mwenye heri Julius?
 
Agenda kuu ya ushoga ni kupunguza idadi ya wanaume duniani, wanaume wanampa Sana tabu shetani kutimiza mipango yake duniani kuelekea New Order
Ushaskia kuna Shetani m.senge?

sio kila kitu kumsingizia shetani, yeye mwenyewe siku hizi pengine anasema jamaa wamenizidi kwa uovu!

kwny Sodoma na Gomora unajua kuwa shetani alipona kwa kuwa hakuwa sehemu ya wafirwa au wafiraji?
 
Hauwezi ukawa raisi then uwe mcha Mungu ni kitu isiyowezekana kabisa. Thus duniani Hakuna raisi aliyewahi ingia mbinguni, wote wapo kuzimu.
Yeye amewekwa na hao hawezi pingana nao.
Una ushahidi kuwa wapo motoni wakina Nyerere?
 
Ushaskia kuna Shetani m.senge?

sio kila kitu kumsingizia shetani, yeye mwenyewe siku hizi pengine anasema jamaa wamenizidi kwa uovu?

kwny Sodoma na Gomora unajua kuwa shetani alipona kwa kuwa hakuwa sehemu ya wafirwa au wafiraji?
Huwa hatuwajibu watu wapumbavu
 
Back
Top Bottom