Gachagua: Marais wa Afrika Mashariki wanaposafiri sana siyo uzururaji bali Wanaenda kutafuta fedha

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mnapowaona hawa Marais wetu kila siku wako safarini msidhani Wanaenda kuzurura bali mjue Wanaenda kutafuta Fedha za kutuletea maendeleo.

Gachagua amesema ni kweli Marais wa Afrika Mashariki wanasafiri sana lakini safari zao zina Faida Kubwa kwa nchi na jumuiya yao.

Gachagua amesema yeye ataelezea Faida ya kila safari aliyofanya Rais Ruto nje ya Kenya.

Hayo yote ametazungumza Kanisani jana Jumapili.

Source: Citizen TV
 
Ndio viongozi wetu wanavyofikiri kuhusu fursa.Wakati wengine husafiri kuchota maarifa na kuyarudisha wakwetu wanasafiri kutafuta fedha kidogo na kuibiwa zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…