Andrew Nyerere
JF-Expert Member
- Nov 10, 2008
- 3,007
- 2,451
Daily News imeandika leo kwamba Muamar Gaddafi anasema Israel is helping the rebels who are fighting in Darfur. Gaddafi anasema such rebels groups like JEM have got offices in Tel Aviv.
Anasema Waisraeli wanachochea vita Sudan. Lakini hasemi kama wanachochea vita Somalia pia.
Bashir is facing indictment by ICC. I think the ICC will indict him,kwa sababu ya UK,USA na,I think France,ambao wanataka kuona indictment. And let us remember that Barak Obama is a lawyer. Akiongea kuhusu economics,maybe it is just an act. Lakini akiongea kuhusu human rights,hiyo ndiyo taaluma yake.
Pia huko Darfur watu wameuawa just because they are black.
Anasema Waisraeli wanachochea vita Sudan. Lakini hasemi kama wanachochea vita Somalia pia.
Bashir is facing indictment by ICC. I think the ICC will indict him,kwa sababu ya UK,USA na,I think France,ambao wanataka kuona indictment. And let us remember that Barak Obama is a lawyer. Akiongea kuhusu economics,maybe it is just an act. Lakini akiongea kuhusu human rights,hiyo ndiyo taaluma yake.
Pia huko Darfur watu wameuawa just because they are black.