Mbona hakuna uhusiano mkuu,Bora aendeee kuleee ika akae akijuq kuna mnyama zimbwe junior anakichafua CAF champions league robo fainali
Atabaki hapa hapa hata National Team haitwiBora aendeee kuleee ika akae akijuq kuna mnyama zimbwe junior anakichafua CAF champions league robo fainali
Ana wivu wa kike huyo,anaugua kwanini hiyo zimwi haitwi na hachezi Taifa Stars huku Mbaga akichezaMbona hakuna uhusiano mkuu,
Nonda alipitia SouthSouth afrika hakuna mfumo mzuri wa watanzania kupaa kuelekea mbele wengi wa wabongo wakienda huko huishia hapo na kurudi nchini
Ataitwa tu we subiria litimu litakao kwenda misri ....jqmaa anaujua kiukweli japo na gadiel nae pia anaujua kumbuka zimbwe alicheza misimu mi 3 mfulukizo bilq kiwango ku drop msijisaulishe
Ni mtanzania?
Mbona hakuna uhusiano mkuu,
Zimbwe jr amekimbilia Chumbageni sports club
Gadiel anacheza modern football.. Sifa za kipekee wapewe Azam fc zaidi mwalimu ChecheAtaitwa tu we subiria litimu litakao kwenda misri ....jqmaa anaujua kiukweli japo na gadiel nae pia anaujua kumbuka zimbwe alicheza misimu mi 3 mfulukizo bilq kiwango ku drop msijisaulishe
Huyu dogo yuko vizuri, ana skills na anajituma sana kwa umri wake atafika mbali. Wachezaji wa Tanzania wanatakiwa waende nje kwa wingi hata kwenye Nchi za kawaida tu wapate changamoto ya kupambana.Beki namba 3 wa Yanga na taifa stars Gadiel Michael ameondoka Leo kuelekea south Africa katika klabu ya Bidvest Wits inayoshika nafasi ya 2 kwenye ligi kwa majaribio ya wiki 2 hata hivo Bidvest wanakabiliwa na upinzani kutokana klabu ya super sport United ambao nao wanataka beki huyo.
Beki huyo alizivutia kablu hizo Mara baada ya kumuona kwenye mchezo na Uganda and app Gadiel alicheza vizuri
View attachment 1055354
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi wanaenda vitimu vidogo"kwa sauti ya Chief Coach Zahera"South afrika hakuna mfumo mzuri wa watanzania kupaa kuelekea mbele wengi wa wabongo wakienda huko huishia hapo na kurudi nchini