wapare tupo talented sanaHuyu dogo ni mkali saaana nilikuwa sijamtizama ila juzi taifa ndio nilimkubali.. Hatariii saaana huyu mpare
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kule mbele CR7 alifanyiwa majaribio kwenda Madrid na Juve??Nikisikia majaribio to najua hamna dili hapo... Sikumbuki mchezaji gani alienda majaribio na kuja kununuliwa
Yes sana tu. Tatizo ni wabairi hatari
X2 au zaidiNi kweli na kule mshahara ni mrefu
Haaaaaahaaaaa mashabiki wa Simba bhana ss zimbwe hp anakujaje? Yaani imewauma kishenzi amunike kumchagua gadiel na kukaacha kajamaa kenu kale jamaa alikichafua kweli muacheni aende!Bora aendeee kuleee ika akae akijuq kuna mnyama zimbwe junior anakichafua CAF champions league robo fainali
Mashabiki wa Simba wanadhani timu ya taifa ni ya kwao so kuchaguliwa mchezaji kutoka yanga inawauma sana ss cjui kuna uhusiano gani kati ya gadiel kwenda majaribio south na hyo zimbwe kukichafua!Mbona hakuna uhusiano mkuu,
Old Tanga Sec. School? Iko sehemu au wilaya gani hapo Tanga? Au ni shule mpya ya baada ya 1990?Gadiel Michael mmbaga.. Mpare mzawa wa Tanga na amekulia tanga #alisoma old tanga sec school baadaye akajiunga na azam Academy
Sent using Jamii Forums mobile app
Rasmi Gardiel yupo sauz akikinukisha majaribioMbona yupo kambini mchezo dhidi ya Alliance ? ,hizi taarifa naanza kuzitikia shaka
Mpira wa bongo raha sanaRasmi Gardiel yupo sauz akikinukisha majaribio
Yuko Simba mkuuSafi sana.
Huyu kijana anauweo mkubwa sana, ni Kati ya mabeki wachache kuwahi kutokea Tanzania ambaye anaweza akatoa pasi akaipokea kwa mbele zaidi ya mara moja (kwenye move moja) .
Ana pumzi ya kutosha pia.
Mungu amjalie afanikiwe uko aendako.