gadiel na tshishimbi ni vinara wa mechi ya watani

samakinchanga

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2014
Posts
2,024
Reaction score
1,233
ukweli mchungu,jamaa wanajua mpira na jana wamedhihirisha,huyo Tshishimbi ana siku 5 tu tangu atue kaonyesha mavitu hivyo je akizpea ligi hii itakuwaje.pia Gadiel ni kifaa ambacho yanga wamelamba bingo.huo ndo ukweli kataa ukabali.kwa simba Niyonzima alietoka yanga amejitahidi kuhaha uwanja mzima ila alikuwa amekamia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…