Gado amchora magu! Aisee ni ataree..selo itamhusu hivi karibuni

Baadae ataunga vikombe kwa super glue, vikikataa kuungika atakuwa na kazi mbeleni
 
hahahahah!!!! GADO huyu jamani, uzuri wake haogopi chochote, kama zile anazo chora kwa Uhuru na Ruto!! Daah, Hiyo yaani amemsoma Magu kabisa!!
 
Bahati yake anaishi Kenya, na anafanya kazi shirika la Ulaya

Awe makini msimfuate huku Kenya, hapo amembeep Magu na atapigiwa hivi karibuni anafikiria Tanzania ni Kenya ambapo rais Uhuru huwa anachorwa chorwa na kutukanwa na kukosolewa kila siku na yeye huichukulia simple. Huko Bongo naskia Magu alishasema msimjaribu.... Mwanzi1
 
Hiyo cartoon imekosewa kidoooogo, ule mkia angeuandika makonda angekuwa amemaliza mchezo.
 
Hakuna mtu yeyote Tanzania awe mchora katuni ama mwandishi wa habari aliyekamatwa kwa kumkosoa Magufuli. Wote waliokamatwa ni kwa kumtukana Rais. Masudi Kipanya kila siku anachora katuni za kumbeza Rais lakini hajawahi kuguswa.
Kwa wale wajinga wanaodhani kutukana ndio demokrasia wakaanze kutukana wazazi wao tuone nini kitatokea.
 
Jitahidi usirudi huku, vinginevyo..........................Gado
 
Kuna nyengine amemchora Magu ako Na jipu, lakini jipu Lina sura imefanana naye, Hilo jipu ndo lampatia mawaidha! Hahaha
Huyo anaemchora Magu 'ako' na jipu linalofanana na yeye ndiye mchochezi haswa, Gado anaitumia vizuri kalamu kufikisha ujumbe halisi kwa jamii kupitia sanaa yake.
 
Umeshawahi kuisikia the Niemöller quote? Ipo hivi, alikuwa ni myahudi aliyeishi ujerumani hitler akiwa madarakani, alisema hivi...
First they came for the Socialists, and I did not speak out!
Because I was not a Socialist.
Then they came for the Trade Unionists, and I did not speak out!
Because I was not a Trade Unionist.
Then they came for the Jews, and I did not speak out!
Because I was not a Jew.
Then they came for me—and there was no one left to speak for me.

Akina masoud kipanya na wenzake bila shaka watafikiwa tu, ni mda tuu..
 
Watu mnashindwa kuielewa maana yake hii picha inakuhusu kunyimwa tenda za kunjenga reli kampuni za Uchina
 
Wanasema jamaa ni mvurugaji ila, mimi sijui kwani bado sijaelewa hii movie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…