Wahuni hao,wamehongwa.unarudisha fomu saa 11 jioni?Taarifa toka kwa Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la la Gairo zinasema kuwa mgombea wa nafasi ya ubunge kupitia CCM Ahmed Shabiby amepita bila kupingwa kutokana na wagombea wa vyama vya CHADEMA, UPDP na CUF ambao walirudisha fomu saa 11 jioni badala ya muda wa kisheria wa saa 10 jioni
Duh mbunge wa 4 huyo,nape,majaliwa,na ludewa,then shabibyTaarifa toka kwa Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la la Gairo zinasema kuwa mgombea wa nafasi ya ubunge kupitia CCM Ahmed Shabiby amepita bila kupingwa kutokana na wagombea wa vyama vya CHADEMA, UPDP na CUF ambao walirudisha fomu saa 11 jioni badala ya muda wa kisheria wa saa 10 jioni
Hawa wahuni nendeni mkawaambie kuwa awamu hii kupita bila kupingwa hakunaTaarifa toka kwa Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la la Gairo zinasema kuwa mgombea wa nafasi ya ubunge kupitia CCM Ahmed Shabiby amepita bila kupingwa kutokana na wagombea wa vyama vya CHADEMA, UPDP na CUF ambao walirudisha fomu saa 11 jioni badala ya muda wa kisheria wa saa 10 jioni
Sasa ona Chadema wameambukiza tabia mbaya kujiuza kwa vyama vingine.Sasa tokea saa moja asubuhi walikua wapi.hongera alieshinda bila kupingwa
Na Abood wa tano.Duh mbunge wa 4 huyo,nape,majaliwa,na ludewa,then shabiby
.. hata mie nmehisi hivyo. Watu wana njaa wamehongwa na kujichelewesha... Pumbavu sana hao jamaaWahuni hao,wamehongwa.unarudisha fomu saa 11 jioni?
Basi atakuwa wa 6
Siku nzima wanakimbizwa na watekaji wengine walikua chini ya ulinzi wameachiwa baada ya muda kuisha.Sasa tokea saa moja asubuhi walikua wapi.hongera alieshinda bila kupingwa