Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,431
Kuna watu walikuwa wanasema kuwa mradi huu umekufa. Tazama video jinsi mradi unavyonawiri
joto la jiwe hii inakuhusu
joto la jiwe hii inakuhusu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gulana Kulalu yenu acres 10k ni msaada na ufisadi juu wa kutisha
Sisi tumeanza project mpya cheetah project acres 12000 zote pesa zetu na ni kwa gharama rahisi mara 90 ya huo mradi wenu
Kwenye mambo ya kilimo wakatafute rika lao lakini sio Tanzania. 😀[emoji28][emoji28][emoji28]hizi battle siku hizi ziko mbali.
Kwenye mambo ya kilimo wakatafute rika lao lakini sio Tanzania. [emoji3]
Hivi hizo 10k acres si kuna wakulima wa Tanzania wanalima zaidi ya hizo acres na hawapigi kelele [emoji23][emoji23][emoji23]Gulana Kulalu yenu acres 10k ni msaada na ufisadi juu wa kutisha
Sisi tumeanza project mpya cheetah project acres 12000 zote pesa zetu na ni kwa gharama rahisi mara 90 ya huo mradi wenu
Wanajishaua na acres 10k wakati Tanzania Ina acres zaidi ya million 2 za umwagiliaji nchi nzima, hectare1 ni sawa na acres 2.4Hivi hizo 10k acres si kuna wakulima wa Tanzania wanalima zaidi ya hizo acres na hawapigi kelele [emoji23][emoji23][emoji23]
Soma vizuri upya kama ni acres au hectaresAcre millioni mbili umetoa wapi? Hio report inasema ni 694,000 acres. Wacheni ujinga na uongo.
Wako wengi sana Nyanda za juu Kusini wala usibishe! There's a reason why we feed u!Leta evidence ya mmoja wao. Usituone sisi kama ni wajinga kama nyinyi.
Sasa Wewe fala tukufunze jinsi ya ku-convert hectares to acres pia?Acre millioni mbili umetoa wapi? Hio report inasema ni 694,000 acres. Wacheni ujinga na uongo.
Umejua kwann +2 mln acres za umwagiliaji?Bila evidence hizo zitabaki stori za vijiweni.
Sawa Mdosi.Umejua kwann +2 mln acres za umwagiliaji?
If I tell u nina shamba zaidi ya hecta 1000 utaamini? N where my farm is kuna several individuals wenye mashamba ya zaidi ya 10000 hectares!
Endelea kukaa kipande system huko Kenya halafu ubishane nasi!
Unaweza kuafford kulima na kupanda 1000 acres?Umejua kwann +2 mln acres za umwagiliaji?
If I tell u nina shamba zaidi ya hecta 1000 utaamini? N where my farm is kuna several individuals wenye mashamba ya zaidi ya 10000 hectares!
Endelea kukaa kipande system huko Kenya halafu ubishane nasi!
Why not it depends on the kind of landuse-plans u have! Mine 90% is on varieties of use though i'll not disclose them overhere!Unaweza kuafford kulima na kupanda 1000 acres?
JPM is the best thing for us with his agenda to revamp/build new infrastructures across the country be it on irrigation dams, silos, food markets, gas-/hydropower, transmission lines, water/oil/gas pipelines, railways, ports, roads or airports (with cold storages) plus a plan for cargo aircraft! U might not understand if u r not farming! A little insight the price of fertilizer has more than halfened as a farmer has an option to get the supply via revamped MGR n CGR trains that the transport costs r cheap! Likewise our farms r accessible to all potential farmers, ur fellows r tracking over 2000 km from Nairobi to buy farm produce but unfortunately they were trying to be a monopoly. Now the competition is heating up as more overseas opportunities r lining up themselves meaning good price for us. Large scale farming is even set to grow farther!Okay. Good for you.