Galatasaray yaguswa Eboue, kumpatia ajira

Galatasaray yaguswa Eboue, kumpatia ajira

brave one

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
4,879
Reaction score
7,386
Galatasaray yaguswa na matatizo ya Emanuel Eboue. Yaamua kumpa kazi ya ukocha wa vijana wa chini ya miaka 14 ili kupata kipato cha kujikimu kutokana na hali ya kufirisika baada ya kutalakiana na mke wake wa kizungu Aurille.
Mkufunzi wa Galatasaray Fatih Terim amenukuliwa na vyombo vya habari vya Uturuki akizungumzia mpango huo wa kumuokoa Eboue kwa njia ya kumpa ajira ya ukocha.
Pia gwiji mwingine aliyepata kukipiga na Eboue katika klabu hiyo ya Galatasaray Hassan Sas ameahidi kumsaidia kifedha Eboue.
128022EE-1983-46D3-AE82-7029767BF1E0.jpeg


Eboue baada kuamua kuachana nakewe huyo wa kizungu mahakaka iliamua mali zote apewe mwanamke.
Kwa bahati mbaya Eboue hakuwekeza kitu chochote nchini kwao ivory coast
 
Sie waafrika aliyeturoga sijui ni nani!?

Huyu huenda hata nyumba hakuwahi jenga huko kwao zaidi wanaishia kula maisha na wazungu tu

Pole yake
Tatizo la Mwafrika mmoja usilihusishe na wafrika wote, kwani hujasikia uwekezaji uliofanywa na Tijani Babangida kwa kujenga Mall za kutisha jijini Abuja na Lagos, hujasikia Uwekezaji wa Nwako Kanu kwenye masuala ya Afya ya moyo nk. Kuna wafrika wengi tu wamewekeza barani Afrika na ulaya. Hili lililomkuta Emanuel Eboe pia lilishawakuta masupastaa wengi Marekani, Ulaya na Brazil. Hivyo halina uhusiano wowote na asili ya Eboe
 
Tatizo la Mwafrika mmoja usilihusishe na wafrika wote, kwani hujasikia uwekezaji uliofanywa na Tijani Babangida kwa kujenga Mall za kutisha jijini Abuja na Lagos, hujasikia Uwekezaji wa Nwako Kanu kwenye masuala ya Afya ya moyo nk. Kuna wafrika wengi tu wamewekeza barani Afrika na ulaya. Hili lililomkuta Emanuel Eboe pia lilishawakuta masupastaa wengi Marekani, Ulaya na Brazil. Hivyo halina uhusiano wowote na asili ya Eboe
Tena brazil ndo wamezidi unamkumbuka Adriano? Jamaa kaendekeza pombe, kubet malaya mpira ukamshinda ulaya karudi kwao brazil kastaafu mpita mdogo tu miaka 30 na sasahivi ni teja tu mtaani unakula unga
 
Wazung huwa wanatafuta nafasi ya kutukomoa.they are opportunists,ni wwatu wabaya sana walee wakija huku wanajidai wanachekacheka tunawaona watu,mimi hawa watu siwapendi kabisa basi tu.wao ndio wanaovuruga nchi za watu hawatulii kwao hiki ndio chazo cha mizozo.watu wakienda huko wanaacha wamatumbi wenzao wnangalia kyuma nyeupe.
 
Tatizo la Mwafrika mmoja usilihusishe na wafrika wote, kwani hujasikia uwekezaji uliofanywa na Tijani Babangida kwa kujenga Mall za kutisha jijini Abuja na Lagos, hujasikia Uwekezaji wa Nwako Kanu kwenye masuala ya Afya ya moyo nk. Kuna wafrika wengi tu wamewekeza barani Afrika na ulaya. Hili lililomkuta Emanuel Eboe pia lilishawakuta masupastaa wengi Marekani, Ulaya na Brazil. Hivyo halina uhusiano wowote na asili ya Eboe
Uko sahihi mkuu
 
Back
Top Bottom