I second this mkuu anza kuangalia imei na baseband ikiwezekana, setting kisha about.
TuelekezaneKama ukipiga dial call, ikiandika neno ^Not registered on network ^ we hiyo pesa ni ya fundi software tuu akanunue mafuta ya gari
Subili jamaa akuelekeze unaweza fanikisha,
Mkuu hapo huenda simu imejilock baada ya kupiga hyo firmware ya china
Ahaa.. nimeroot kwa cf autoroot ila naona kuna baadhi ya apps kama ariza hazitambui hio root..Mkuu hapo huenda simu imejilock baada ya kupiga hyo firmware ya china
Jarbu kuroot kwanza kisha tafuta z3x fanya direct unlock uone.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kesho ntakupa link ya zx3 saiz mda umeenda mkuuAhaa.. nimeroot kwa cf autoroot ila naona kuna baadhi ya apps kama ariza hazitambui hio root..
Hio z3x ikoje boss
Sent using Jamii Forums mobile app