Musa Dunia notorious....haya majina yaliniacha hoi .... MUSA DUNIA... MANDIA ....MANG'ANA MANG'ANA..... KUZENZA....
kwel kabisa yani ni shdaaaDuh Pole saaana hilo Dom lilikuwa chafu balaaa
yah yah hao ni tishio sana na mwingine alikuwa hgk kule ahaaaMusa Dunia notorious....
Vijana wa Mama mgina.
Sembe alinikuta na simu akanionea huruma akaniachamnamkumbuka boy wa mbeya alikamatwa na simu form 6 2012 ikapasuliwa asembo na akaambiwa awelete wazaz ahaaa alipofika dom akaanza kusema duu mzazi kutoka beya mpaka tanga na mimi ina ghariu 450,000
Hilo bweni lilikuwa chafu kinoma.PAMBA ndo dom langu 2012 cube 2 halufu za choo... noumaa sana
sembe mzee wa ecc alikuwa powa 2 mbonaSembe alinikuta na simu akanionea huruma akaniacha
Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
Duh ninacho shukuru vigae sikubeba wala visiki maisha yangu ya galaxy. Ila kusaidia wana tumesaidia saana.Namkumbuka yule jamaa,vile vigae sikubeba aisee... ila nilipewa azabu ya kuchimba visiki vitatu vya muarobaini nilipiga kama wiki bila mafanikio.
Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
dom leader RUNGU ahaaaaa kokote ulipo ahaaaaaaHilo bweni lilikuwa chafu kinoma.
Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
We Denis hansi alipofika chuo alitulia saana. Ule utata uliisha pale pale.yah yah hao ni tishio sana na mwingine alikuwa hgk kule ahaaa
Yule chogo alikuwa mnoko kama msochaDuh ninacho shukuru vigae sikubeba wala visiki maisha yangu ya galaxy. Ila kusaidia wana tumesaidia saana.
Nakumbuka ilikuwa ukivuta tuu school unapewa sululu. Na Yule kinenejo au nan sijui ndio alikuwa specialist.
Kuna siku Yule ticha simkumbuki jina anaitwa la utani chogo. Alitupa visiki tukaongea nae kesi ikaisha
Yeah namuona tena alikuwa speaker wa bunge la. Vijana.kile kichwa makimaster hatokisahauhp alienda udom na amemaliza 2016
Huyo jamaa alikuwa msumbufu sana pale skuli,kila siku mgina lazima amtafute.We Denis hansi alipofika chuo alitulia saana. Ule utata uliisha pale pale.
Wakina mkandara walimnyoosha
Alafu hiyo bam yenyewe yupo shallow.Yule chogo alikuwa mnoko kama msocha
Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
alituluta na mwanangu atujaenda prepo tunacheza karata s form 5 wageni akatuambia msinikimbie akaanza kutupa ushauri wa maisha gafla mwaka 2015 mm tena na mwanangu tukapishana naye udom tulicheka sana ahaaa apo nayeye kawa braza men anavuga minywele hp hp way back sanaYeah namuona tena alikuwa speaker wa bunge la. Vijana.kile kichwa makimaster hatokisahau
Hp yupi huyo mbona nimemsahau yule aliyefukuzwa au?hp alienda udom na amemaliza 2016