Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kama ingechezwa nje ya TanzaniaHii mechi Wydad anaicheza kwa kutumia msuli wake wa kiuchumi.
Hii imenifikirisha sana mkuu....Unataka wasijibu? Yani wakae kizembe wakati na wao wamekuja kupambana? Ndugu utopolo tuliza komwe hilo unalihangaisha kwa kuwaza utaandika nini kuhusu Simba daily...
Simba si ndo walianza..Hawa wanakuja kwa watu alafu wanajiamini namna hii ?
Yana wanawaita Simba hivi hivi, hata hawaogopi kabisa.
Je hii ni ishara Gani Kwa makolo
[emoji1607] @bintiiringo
#WasafiSportsView attachment 2919312
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Naskia wydad watatia mkono waoHii mechi Wydad anaicheza kwa kutumia msuli wake wa kiuchumi.
Ambayo ukicheza pira speed.... tayr ushaiua mnara [emoji113]Galaxy Wanajua wanakutana na Timu mbovu kwenye Mashindano[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimemaliza kuangalia marudio hapa ya ile match ya 5 November nimeona Galaxy atapita humo humo, FT 1-5.Unataka wasijibu? Yani wakae kizembe wakati na wao wamekuja kupambana? Ndugu utopolo tuliza komwe hilo unalihangaisha kwa kuwaza utaandika nini kuhusu Simba daily...
Itakuwa Kuna mtego galaxy wameuset....so wanawasubiri makolo waje wajaeHizi sasa zarau....
Halafu hii poster ina mkanganyiko, wao Galaxy ndiyo wanakuja kwa Simba halafu wanasema "waache waje?"
Taifa linaenda kupata aibuNimemaliza kuangalia marudio hapa ya ile match ya 5 November nimeona Galaxy atapita humo humo, FT 1-5.
Yeye Wydad anacheza na viongozi wa Galaxy na unaweza ukakuta kuna wamba wapo Tz na mzigo.Labda kama ingechezechwa nje ya Tanzania
Nasikia Wydad katuma maofisa wake Tz kuhakikisha mambo yake yanaenda🤣🤣Hii mechi Wydad anaicheza kwa kutumia msuli wake wa kiuchumi.