BonventureSr
JF-Expert Member
- Nov 16, 2023
- 879
- 1,432
Let them come where,wao ndio wanakuja Manina zao.WataionaHawa wanakuja kwa watu alafu wanajiamini namna hii ?
Yana wanawaita Simba hivi hivi, hata hawaogopi kabisa.
Je hii ni ishara Gani Kwa makolo
[emoji1607] @bintiiringo
#WasafiSportsView attachment 2919312
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Mfungwe Mimi nicheke yaan siku hio Mimi ntacheka jinsi Ahmed Ali anavyoenda kuchekea CHOONIYani nyie ndo mmechanganyikiwa mpka sasa..yani kwa jinsi mlivyo na kihoro cha roho mbaya mkitaka tufungwe hata chakula nadhani hakipiti...
Roho mbaya ni mzigo mzito..
Yaan Simba wataonyeshwa show show mpaka wakimbie uwanja siku hio na mgeni rasmi wao InongaLet them come where,wao ndio wanakuja Manina zao.Wataiona
Tukiwa tunapost huku tumevuta ndio inakua na stimu za juuHao maofisa wake ashindwe kuwatuma kwa Asec ambao hawana cha kupoteza awatume kwa Jwaneng ambao ni washindani wake kwenye nafsi ya pili!!!??? Mkiwa mmevuta msiwe mnapost aisee.
Sawa lkn hapo bila mtu wa simba kusaliti , ni ngumu kufanikiwa
Mechi yao na Asec sizani itakuwa ngumu na Asec hatocheza ile kukaza sababu kishafuzu na pili Asec atakuwa anawaepusha wachezaji wake na majeraha pamoja na kadi. Wydad hawezi kucheza na nyie sababu nyie mna nafasi kubwa ya kufuzu kuliko wao,ila Galaxy ana nafasi ndogo sana ya kufuzu so ni rahisi kumtumia Galaxy kuliko wewe.Jamaa hela wanayo na vilevile wanajua fitina za nje ya uwanja.Hao watafanya nini zaidi ya kuhakikisha timu inapambana ndani ya uwanja? Yaani baada ya kucheza na viongozi na wachezaji wa Simba unaangaika na mgeni. Watafanya mbinu gani ya kujinasua?
Mpira wa Africa tofauti na ulaya,Asec sizani kama atamkazia Wydad sababu kishapita. Ila Galaxy kimahesabu nafasi yake ni finyu ,mwenye nafasi kubwa ya kupita ni ww,sababu una faida ya kucheza nyumbani.Yaani Wydad amuombee Jwaneng ashinde wakati Jwaneng akishinda anakuwa na uwezekano mkubwa wa kufikisha points 7 ambazo zinaweza kumpeleka robo final iwapo Wydad atapoteza!? Acheni kuwaza kilevi
We unazani atapitia kwako?Hatopitia kwako kabisa yy atadeal na Galaxy mwenye nafasi finyu .Kama msuli wake wa kiuchumi ndio ule uliofanya akafungwa na Simba Sc mara mbili mfululizo hapa Tz, sidhani kama una madhara.
Ndugu zetu kabisa hawaMbona Chakula Kinashuka Vizuri Tu Jumamosi Tukutane Kwa Mkapa Nitakuwepo Naku-support Mpite[emoji23][emoji23][emoji23]
Pira counter attacksTunasubiri kuona pira papatu x2
WataaibikaNakumbuka Hata Raja CA Walianza Hivi Hivi na Wakampasua Kolozidad Pale Mkapa Stadium...!! Basi Hata Jwaneng Galax Wamekuja Hivyo Hivyo Naamini Kolozidad Anachapika Pale Lupaso....!!
Kolozidad Alichobakiza ni Kelele za Ahmed Tu ila Squads ya Ushindani Hana
Kwamba galaxy ashinde au a drawWatie wasitie hawana kasheshe, si walikufa mbili kwa Mkapa? Sasa wana maajabu gani hata wakitia huo mkono!?
Kuna mitego wamewategea ....so wanasubiri muje muingie kwenye mfumo wao....wawakandeLet them come where,wao ndio wanakuja Manina zao.Wataiona
Kabisa mkuu tumuombee ndugu yetu galaxyGalaxy wasituangushe aisee
Yanga mwenzangu hili nalo linakupa shida gani? Mambo ya Ngoswe mwachie Ngoswe. Nyie wadada huwa mnajipa pressure kwa mambo ya watu. Sisi tumepita tayari tupumzike tu.Hawa wanakuja kwa watu alafu wanajiamini namna hii ?
Yana wanawaita Simba hivi hivi, hata hawaogopi kabisa.
Je, hii ni ishara Gani Kwa makolo
[emoji1607] @bintiiringo
#WasafiSportsView attachment 2919312
[emoji23][emoji23]Yanga mwenzangu hili nalo linakupa shida gani? Mambo ya Ngoswe mwachie Ngoswe. Nyie wadada huwa mnajipa pressure kwa mambo ya watu. Sisi tumepita tayari tupumzike tu.