Ni ndugu zetu kabisa hawa mkuuNiwe mkweli tu hii Galaxy ni timu ambayo naikubali sana baada ya yanga, kila la heri kwao acha waje.
Kabisa lazima tuwe nao bega kwa bega.
Sawa msemaji wa JKuna mitego wamewategea ....so wanasubiri muje muingie kwenye mfumo wao....wawakande
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Mwisho wa siku kiwango cha kila team ndicho kitakachoamua nani apite bila kujali nani kapewa nini na kwaajili ya nini.We unazani atapitia kwako?Hatopitia kwako kabisa yy atadeal na Galaxy mwenye nafasi finyu .
Na hili ndilo linaweza kutokeaMwisho wa siku kiwango cha kila team ndicho kitakachoamua nani apite bila kujali nani kapewa nini na kwaajili ya nini.
Wydad anaweza kupoteza vitu viwili kwa pamoja, pesa zake na nafasi ya kwenda fainali.
Acha Waje uwanjani....makolowizardHizi sasa zarau....
Halafu hii poster ina mkanganyiko, wao Galaxy ndiyo wanakuja kwa Simba halafu wanasema "waache waje?"
Itakuwa maajabu kama wydad atashindwaWatakao kula hela ya Wydad
1. Marefarii hawa watapewa ili kubalance mchezo au kuwaua wenyeji
2. Mtu wa karibu wa Simba ili kuuza mbinu za timu na ikiwezekana kupitisha Takrima kwa baadhi ya wachezaji
Ngoja tuone kama itakuwa hivyo [emoji23][emoji23]Lakini hii Simba ni hatari... jana wameipiga timu hatari ya TRA Kilimanjaro bao 6 - 0. Kipigo cha jana ni salamu kwa Galaxy.
Hahahahahaha...na itakua aibu sana wakifanikiwa.. ila unakumbuka mechi yao ile kuna watu waliwatuhumu kuwa wamewauza ? Sasa yule waliye mtuhumu bado yuko wasije kumtumia tena....
Teh...Teh teh leo ndio mnajua roho mbaya ni mzigo mzito sio
Hakuna kitu kama hicho wewe, Kundi mpaka sasa liko wazi, mwenye uhakika na robo final ni Asec pekee wengine wote yeyote anaweza kuungana na Asec so hakuna huo ujinga wa fulani amtegemee fulani, kila mmoja anatetea nafsi yake na unaweza kushangaa Jwaneng akaungana na Asec, heshimu football.Mpira wa Africa tofauti na ulaya,Asec sizani kama atamkazia Wydad sababu kishapita. Ila Galaxy kimahesabu nafasi yake ni finyu ,mwenye nafasi kubwa ya kupita ni ww,sababu una faida ya kucheza nyumbani.
So Wydad mtu wa kumtumia kirahisi ni Galaxy.
Salam ziwafikieLakini hii Simba ni hatari... jana wameipiga timu hatari ya TRA Kilimanjaro bao 6 - 0. Kipigo cha jana ni salamu kwa Galaxy.
Galaxy akishinda itakuwa ni kwa juhudi zake maana anaitafuta robo pia na si kwa mkono wa Wydad.
Wydad pesa kwake sio tatizo, timu ina uwezo wa kumsajili mchezaji mpaka wa USD 5m,hela kwake haiwezi kuwa tatizo. Waarab mpira wana ucheza nje na ndani ndio tabia zao.Mwisho wa siku kiwango cha kila team ndicho kitakachoamua nani apite bila kujali nani kapewa nini na kwaajili ya nini.
Wydad anaweza kupoteza vitu viwili kwa pamoja, pesa zake na nafasi ya kwenda fainali.
Vyuma vitaumanaHahahahahaha...na itakua aibu sana wakifanikiwa.. ila unakumbuka mechi yao ile kuna watu waliwatuhumu kuwa wamewauza ? Sasa yule waliye mtuhumu bado yuko wasije kumtumia tena....
Ngoja tuoneGalaxy akishinda itakuwa ni kwa juhudi zake maana anaitafuta robo pia na si kwa mkono wa Wydad.
Wameshapotea na kosa lao kubwa ni kukubali kufungwa na Galaxy kule Morocco hilo watajutia sana. Fitina unaweza icheza kwako ila sio nyumbani kwa mwenzio na isitoshe utegemee mgongo wa mwenzio ndio ukufanyie mtelemko.. wanaoweza ku deal nao ni refa pekee ila sio wachezaji wa Galaxy kwasababu wao ili wambebe Wydad ni lazima wapambane ndani ya uwanja na hapo ndipo aliyebora ndiye atakayetoka kifua mbele.Wydad pesa kwake sio tatizo, timu ina uwezo wa kumsajili mchezaji mpaka wa USD 5m,hela kwake haiwezi kuwa tatizo. Waarab mpira wana ucheza nje na ndani ndio tabia zao.
Lakini hii Simba ni hatari... jana wameipiga timu hatari ya TRA Kilimanjaro bao 6 - 0. Kipigo cha jana ni salamu kwa Galaxy.
uoni aibu kutoa mfano timu kama TRA yani wachezaji wao wamekonda kabisa jezii zimewavaa njaa nyingi...