Mabobish
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 367
- 282
Wadau naomba kupata uzoefu kwa Wafugaji wa Kuku juu ya matumizi ya gamba la Kobe katika kukuza utagaji wa mayai kwa kuku. Nimenyetishwa kwamba ukitaka kuku watage mayai na kuzaliana kama wendawazimu ni kutumia Gamba la Kobe katika kuwanyweshea maji.
Naomba ku-share ujuzi na uzoefu kwa yeyote mwenye uzoefu na ujuzi wa jambo hili kwani mie ni mfugaji wa kuku wa kienyeji na ambition yangu ni kuongeza idadi ya kuku na kufuga kibiashara.
Mapovu hapana tushee uzoefu na kujengana kiuchumi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba ku-share ujuzi na uzoefu kwa yeyote mwenye uzoefu na ujuzi wa jambo hili kwani mie ni mfugaji wa kuku wa kienyeji na ambition yangu ni kuongeza idadi ya kuku na kufuga kibiashara.
Mapovu hapana tushee uzoefu na kujengana kiuchumi.
Sent using Jamii Forums mobile app