Hata ukiweka meno ya tembo kama hukufuata kanuni bora za ufugaji kama;
1. Banda bora
2. Mbegu bora ya kuku
3. Chakula bora
4. Ufuatiliaji wa Chanjo na kutibu magonjwa
5. Uwiano sahihi wa mitetea na majogoo (10:1)
6. Utunzaji bora wa mayai na vifaranga.
Hakika usipo fanya hayo hilo gamba la kobe halitasaidia lolote.
Hebu acha ushirikina ndugu mambo ya kizungu kivipi wakati hizo nilizotaja hapo juu ni kanuni za ufugaji bora.Hayo mambo ya kizungu, sisi tunataka mambo ya kiafrika, vipi gamba la kobe linaweza kuuongeza productivity ya kuku??!!
Hebu acha ushirikina ndugu mambo ya kizungu kivipi wakati hizo nilizotaja hapo juu ni kanuni za ufugaji bora.
Ila kama unataka kufuga kishirikina na kimazindiko kutumia gamba la kobe kama chombo cha kuwekea maji nadhani haitosaidia ungetafuta hirizi uwafunge hao kuku pia kuwa chanja chale.