Gambo: Awamu iliyopita kiongozi wa chini aliweza kuwa na nguvu kuliko hata Mimi Mkuu wa Mkoa

Acha MUNGU aitwe MUNGU
 
Agiza kinywaji nakuja ku-clear bili
 
watu wanag'ang'ania kujiudhuru kama vile ni rahis kihivyo! kama vile hawana familia. kama vile unajihudhuru na kuhama nchi.
Inaweza kuwa njia ya kujimaliza hadi uhai wenyewe. njia waliochagua ya kuishi na adui ni bora na sahihi zaid ili umpige kichwa vizur au upate kuishi.
 
KUJIUDHURU sio KUJIHUDHURU
 
Wana leta siasa za wazungu, kwanza wao hawana njaa, na hata ukijiuruzu hakuna kisasi!!sasa hapa ujiudhuru upate sifa za kijinga, kesho yakukute ya kukukuta hawana msaada na wewe!!
 
Endelea kuishi kwa shemeji yako mpuuzi wewe
Nina 50+ yrs sidhani Kama kwenu kuna mtu mwenye umri huo anaishi kwa shemeji yake,[emoji28][emoji28][emoji28][emoji2][emoji2][emoji23]Nina wajukuu wawili ujue
 
Tunakoelekea huyu atahamia chadema ili ateme nyongo vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watajieleza wote maana hakuna jisi, watafichua mpaka siri za ndani
 
Tuna hasara sana,

Inasikitisha mno kwamba

Wanasiasa wengi wapo Kwa ajili ya maslahi Yao tu.

Yaani wanatukaanga sisi wananchi kama bisi.

Alimradi tu wapate kiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…