Gambo kumshutumu Katibu Mkuu UVCCM haijakaa sawa

Nenda dukani kwa manyi, nunia eneji bariiid muombe kiti ukae halafu urudie kusoma hiki ulichokiandika i swear utashangaa
 
Mwendazake kafa na ndoto za kisiasa z watu wengi, Gambo amefanya political miscalculation
 
Acha uongo Lema alishapotezewa Arusha na wala hakuwa na dalili za kushinda.

Labda tu kama kuna anayejua Gambo alitumiaje nafasi yake ya ukuu wa Mkoa kujisafishia njia maana hata wale akina Mama Mboga karibia wote wakawa hawataki kumuona Lema.
Wasingeiba kura ndio tungejadili ubovu wa Lema. Ila sasa ile mbeleko ya Hayati inamaliza sifa zote za Gambo.

Kimsingi hayati hakuwasaidia wenye uwezo ndani ya ccm. Wanakuja kuonekana wote ni wabunge haramu🤣🤣
 
Hiyo sentensi ya mwanzo. Khaa!!
 
Kashfa kwa Kennan,awajibike kama alipokea mzigo.
 
Boss wa mbunge ni wananchi.
Anamshutumu boss wake hadharani? Yule ni boss wake angemsema pembeni au hata kumwambia PM kwamba kuna viongozi wa chama waliingiziwa pesa isivyo halali,kwa heshima atampa maelezo kwa maandishi.
 
CCM wote ni wala rushwa
 
Wote wanaonea GERE. watoto wa kiume halafu!
Rushwa na CCM ni kidole na kucha! Ukikata zinaota, ukinyofoa zinaota!

Wacha fisi watafunane ndiyo tabia yao kwa asili!
 
Hivi Gambo alikuwa Mkuu wa Mkoa?
Mbona naona kama brain yake kwenye mambo ya uongozi na approach zake zimekaa kisharikishari.
 
Hakuna Cha kuponda hapa Kama aliingiziwa iyo pesa irudishwe Mara moja, ccm KILA mtu kambale Hasa Hawa vijana walioingizwa kinyemela na mwenda zake, wanatuna Kama hawatakufa, arudishe faster na kuchukuliwa hatua na takukuru, na mkurugenzi apigwe chini, ujinga mtupu
 
Acha uongo Lema alishapotezewa Arusha na wala hakuwa na dalili za kushinda.

Labda tu kama kuna anayejua Gambo alitumiaje nafasi yake ya ukuu wa Mkoa kujisafishia njia maana hata wale akina Mama Mboga karibia wote wakawa hawataki kumuona Lema.
Gambo ni mbunge wa VITIMAALUM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…