Game 2 points 4 wamebeba marefa

Kwanza kiri kama penat ya mbeya city ilikuwa halali maana mlikuwa mnabisha, isije ukawa unataka kuhalalisha kosa la refa huyu lifanyike na refa mwingine.
Penalty ya Mbeya City ilikuwa halali 100%, note: Yanga nao walipata penalty kwenye game ile Vs Mbeya City ila refa Kama kawa hakuiona[emoji28]
 
Asilimia 75 nje ya uwanja ndo kile kipigo alichopigwa As Vita?
 
Mpira haupo hvyo
Embu nambie bwashee,dk za majeruhi Fei toto yeye na kipa kulikua na sababu gani ya kutoa pasi kumpambanisha mwenzie,wakati alikua anauwezo wa kufunga yeye mwenyewe?
Ile nafasi mtu kama Medie Kagere wallahi anakuumiza.
 
Tayari Wameanza malalamiko.
 
Nadhani sasa Kileleni Joto Linaongezeka kwa kasi ya 5G++.......
 
Tulia dawa iingie

Huwezi kusajili vituko kama Sarpong halafu utegemee kushinda ligi na kwenda kucheza Champions League

Duniani hakuna timu inajengwa ndani ya msimu mmoja na kuanza kupata mafanikio hapo hapo
Ngumu kumeza hiiii au wananchi mnasemaje?..............
 
Penalty ya Mbeya City ilikuwa halali 100%, note: Yanga nao walipata penalty kwenye game ile Vs Mbeya City ila refa Kama kawa hakuiona[emoji28]
Ok tuseme yanga kanyimwa hizo penat ilichopelekea kunyimwa ushindi ila tukifuatilia michezo yote iliochezwa yanga imevuna points nyingi tu za kubebwa.
Nakukumbusha, dhidi ya gwambina goli halali la ushindi la gwambina lilikataliwa na hivyo mkakwepa kipigo, dhidi ya simba mlipewa penat kwa faulo nje ya 18 , dhidi ya Kmc mlipewa penat isiyo halali hivyo mkapata ushindi n.k

Kwa hiyo ni ujinga kusema 75% ya ushindi unapatikana nje ya uwanja wakati mna matukio mengi tu ya kubebwa na kipindi mnafaidika mlipiga kimya. Au nyinyi tu ndio wenye uhalali wa kufaidika na maamuzi mabovu ya marefa?
 
Kule kaitaba mwamnyeto alishika wazi kabisa refa alikauka kimya na palikua kimya saaaaaafi zamu yao sasa balaaa tupu mungu fundi malipo ni ------
 
Kule kaitaba mwamnyeto alishika wazi kabisa refa alikauka kimya na palikua kimya saaaaaafi zamu yao sasa balaaa tupu mungu fundi malipo ni ------
Wanashangaza kweli, wakifaidika na maamuzi mabovu ya marefa wanapiga kimya, wasipofaidika wanashupaza mishipa bingwa kaandaliwa.
 
Sasa Ile ya Mbeya ambayo Mustafa alishika sio penat ile? Tatizo mnaaminishwa ujinga,unafanyika usajili wa kijinga wa kina coutinyo na sarpong mnaandamana mabarabarani halaf uwanjani hawafanyi kitu. Utopolo bana... Tunabeba hili kombe back to back miaka kumi!
 
Wanashangaza kweli, wakifaidika na maamuzi mabovu ya marefa wanapiga kimya, wasipofaidika wanashupaza mishipa bingwa kaandaliwa.
Kama Ile ya mwaka jana, goli limeingia halaf lanzmen anasema kona πŸ˜†πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…