Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,021
- 22,016
Candy crush ni ya mademu
Mkuu niliiacha leval 2506,naona level haziishi
duuuh uko mbali mi niko 760
[emoji23][emoji23][emoji23]Shikamoo Kaka[emoji119][emoji119][emoji119]
Candy crush ni ya mademu
Me nipo 4200Upo mbali Sana watu tupo kwenye 2600+
Tayari, umeiona?Nifundishe na Mimi mdogo ako[emoji4]
Perception ya kishamba hizi.Candy crush ni ya mademu
Weka link mkuuNikiboreka kwenye foleni hili game lanipa kampani View attachment 1233443
Ndio mkuu, kwanini umeuliza?Umefika grand master?
dream league elite division nimemalizaTaja game yako ujuane na wenzako wanaocheza,
Hizi game zangu kwenye simu na hizi level zangu
8 ball pool ,veteran level 59.
Toon blast!/chest leve 2280
Candy crush Saga
Subway surfers
Princess surfer
Ukiwa umejiunga na fb hata ukifuta au ukibadili simu unaenelea ulipoishiaYa kwanza niliishia level ya 800+, ya pili nikaishia level ya 790 hivii, hii ni ya tatu nimeanza June na nacheza kwa kusua sua sana pia.
Nipo 5555 ndio mwisho kwa sasa ila kila baada ya wiki 2 au mwezi wana update level zingineUlikuwa mbali aisee kuna mdau yuko 3000 na kitu na haijaisha