Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Safi sana.....
Watu ndo tunatoka Kazini asubuhi hii baada ya kukaa huko kwa siku 2. Ambazo ni ushindi wa bao 2 kwa Yanga. Na ustaadhi katuambia kuna bonus ikiwa tutafanya jambo moja zito zaidi. Tumewaacha jamaa waendelee.
Uhakika upo. Simba ni kama mti embe wa uwani. Unajichumia tu embe unakula muda wowote au kama demu wa uswahilini uki mmiss unamwita tu unajigongea unampa 2,000 anaondoka.
Mimi nipo hapa. Yanga IKIFUNGWA NA SIMBA NIPIGWE BAN YA WEEK NZIMA. Simba atakuwa huyu mbwa koko? Acheni masikhara nyie. Kama si hivyo nifanywe kufungiwa week nzima. Tena nipigwe ban kali hata nisipewe demu wa kunipoza.
Maana tumekubaliana na Demu wangu nikishinda basi namfanya chochote nitakacho. Na nikifungwa mimi Yanga sipewi undani kwa week nzima.
Watu ndo tunatoka Kazini asubuhi hii baada ya kukaa huko kwa siku 2. Ambazo ni ushindi wa bao 2 kwa Yanga. Na ustaadhi katuambia kuna bonus ikiwa tutafanya jambo moja zito zaidi. Tumewaacha jamaa waendelee.
Uhakika upo. Simba ni kama mti embe wa uwani. Unajichumia tu embe unakula muda wowote au kama demu wa uswahilini uki mmiss unamwita tu unajigongea unampa 2,000 anaondoka.
Mimi nipo hapa. Yanga IKIFUNGWA NA SIMBA NIPIGWE BAN YA WEEK NZIMA. Simba atakuwa huyu mbwa koko? Acheni masikhara nyie. Kama si hivyo nifanywe kufungiwa week nzima. Tena nipigwe ban kali hata nisipewe demu wa kunipoza.
Maana tumekubaliana na Demu wangu nikishinda basi namfanya chochote nitakacho. Na nikifungwa mimi Yanga sipewi undani kwa week nzima.