Sanchez magoli
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 4,055
- 8,540
Hata mm simuoni sijui kapotea na wacongo,Saiz sa sita uonekani jamvini wakat ulisem sa 3 utakuepo
Hahahhahahahahah mjitaidi katika ligi tumeamua tuwabebe na nyinyi japo wanafiki maana mmehamia nchi kibao.Mungu awe pamoja nanyi as vital mtakapoingia uwanjani awape wepes wa kushinda mechi hii!!! Kila la heri as vital.
Huwezi kuwaona mbwa utawaona binadamu tuu, wana uwezo wa kufikiri, na kuweka akiba ya manenoMbona mnakimbia thread zenu vyura, rudini huku lipuli 1-1 yanga
zahera karudisha
Hiii ni saa mbili asuhiWasalaam
Wale wanaojipa matumaini eti Simba atambamiza Vita mnajipa ugonjwa wa moyo bure bure. As Vita sio wa kuaga haya mashindano kwa kutolewa na Simba hii.
Kama unabisha tukutane saa tatu usiku hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Atakuwa katekwa na wakongomaniHiii ni saa mbili asuhi
We mpumbavu umejibiwa vizuri alaf unajibu kwa nyodo
VP ulirudi we mchambuzi uchwaraKama unabisha tukutane saa tatu usiku hapa
Wasalaam
Wale wanaojipa matumaini eti Simba atambamiza Vita mnajipa ugonjwa wa moyo bure bure. As Vita sio wa kuaga haya mashindano kwa kutolewa na Simba hii.
Kama unabisha tukutane saa tatu usiku hapa
Sent using Jamii Forums mobile app