Game za Simba SC robo fainali CAF zinaanza lini?

Game za Simba SC robo fainali CAF zinaanza lini?

denooJ

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2020
Posts
18,509
Reaction score
68,228
Wadau kwa anaejua ratiba atuwekee hapa tujue atacheza na nani, ataanzia nyumbani au ugenini.
 
Droo ya robo fainali itafanyika tarehe 30 mwezi wa 4 mwaka 2021.

Timu ambayo Simba anaweza kukutana nayo hatua hiyo ni moja kati ya hizi tatu
1. Kaizer
2. Mc Alger
3. CRB

Simba ataanzia ugenini
 
Back
Top Bottom