Gamond arudishe combination ya Aziz, Max na Mzize

Gamond arudishe combination ya Aziz, Max na Mzize

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Tathmini yangu inaonesha Aziz K hakuonekana hatari kipindi Mayele amesimama kama lone striker lakini baada ya Mayele kuondoka Combination bora ilozakiwa yaani Aziz K, Max, Mzize na Mudathir.

Sasa turujee Ujio wa Dube na Chama utaona kama vile space ya Aziz kucheza imepunguzwa.

Gamond rudisha combination yetu pendwa.
 
Aziz ameshaisha na kimguu chake kimoja hata ku dribble hawezi .kukimbia hawezi. Kushuti ndo kabsa labda aache nyeto
 
Tathmini yangu inaonesha Aziz K hakuonekana hatari kipindi Mayele amesimama kama lone striker lakini baada ya Mayele kuondoka Combination bora ilozakiwa yaani Aziz K, Max, Mzize na Mudathir.

Sasa turujee Ujio wa Dube na Chama utaona kama vile space ya Aziz kucheza imepunguzwa.

Gamond rudisha combination yetu pendwa.
 
Back
Top Bottom