Gamond "Tumefungwa na Ihefu FC kwa bahati mbaya."

Gamond "Tumefungwa na Ihefu FC kwa bahati mbaya."

Kasiano Muyenzi

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2018
Posts
13,858
Reaction score
22,729
Gamond katoa msimamo huu mara tu baada ya kutua na ndege usiku wa manane akiwa na kikosi chake kilichovurugwa na Ihefu FC kule Mbarari. "Tumefungwa na Ihefu kwa bahati mbaya" hii ndio kauli ya kwanza aliyoitoa baada ya kupewa kipaza sauti.

Inaonekana wazi kuwa hajakubali kuwa wamefungwa na Ihefu kwa kuzidiwa mbinu bali amekazia kuwa wamefungwa na Ihefu kwa bahati mbaya na amewaahidi mashabiki wa Yanga Sc,kuwa hakuna timu ya kuifunga tena Yanga, iwe NBC au CAF Champions, mpaka msimu ukaishe makombe yote ni ya Yanga.


#mashabiki wa Yanga kuweni watulivu pira Gamondi lipo palepale.

Daima mbele nyuma mwiko!
FB_IMG_1696481206399.jpg
1696498964652.jpg
 
Gamond katoa msimamo huu mara tu baada ya kutua na ndege usiku wa manane akiwa na kikosi chake kilichovurugwa na Ihefu FC kule Mbarari. "Tumefungwa na Ihefu kwa bahati mbaya" hii ndio kauli ya kwanza aliyoitoa baada ya kupewa kipaza sauti.

Inaonekana wazi kuwa hajakubali kuwa wamefungwa na Ihefu kwa kuzidiwa mbinu bali amekazia kuwa wamefungwa na Ihefu kwa bahati mbaya na amewaahidi mashabiki wa Yanga Sc,kuwa hakuna timu ya kuifunga tena Yanga, iwe NBC au CAF Champions, mpaka msimu ukaishe makombe yote ni ya Yanga.


#mashabiki wa Yanga kuweni watulivu pira Gamondi lipo palepale.

Daima mbele nyuma mwiko!
View attachment 2772601View attachment 2772602

Kwani nini maana ya BAHATI MBAYA..??? Hata huko unakosema kwamba walizidiwa mbinu, NDIO BAHATI MBAYA YENYEWE kwamba mbinu za mpinzani zilizidi mbinu zake…!!

Au bahati mbaya maana yake nini??
 
Yanga wameniabisha kweli. Leo nimeshinda uvunguni tu, siwezi kutoa uso wangu nje kwa aibu niliyo nayo. Itawachukua muda mrefu sana au hata hawataweza kurudi kwenye position ya kwanza kwelnye ligi labda wasaidiwe na Azam au Namunga kuwarudisha Simba chini.

Bado nataka wachezaji wa Yanga waliocheza dhidi ya Ihefu wakamatwe na polisi wahojiwe ilikuwaje wakakubali kufungwa ilihali wanaliwakilisha Taifa kwenye mashindano ya CAF. Hiyo ni aibu kwa Taifa pia.
 
Gamond katoa msimamo huu mara tu baada ya kutua na ndege usiku wa manane akiwa na kikosi chake kilichovurugwa na Ihefu FC kule Mbarari. "Tumefungwa na Ihefu kwa bahati mbaya" hii ndio kauli ya kwanza aliyoitoa baada ya kupewa kipaza sauti.

Inaonekana wazi kuwa hajakubali kuwa wamefungwa na Ihefu kwa kuzidiwa mbinu bali amekazia kuwa wamefungwa na Ihefu kwa bahati mbaya na amewaahidi mashabiki wa Yanga Sc,kuwa hakuna timu ya kuifunga tena Yanga, iwe NBC au CAF Champions, mpaka msimu ukaishe makombe yote ni ya Yanga.


#mashabiki wa Yanga kuweni watulivu pira Gamondi lipo palepale.

Daima mbele nyuma mwiko!
View attachment 2772601View attachment 2772602
Inaonekana wazi kuwa hajakubali kuwa wamefungwa na Ihefu kwa kuzidiwa mbinu bali amekazia kuwa wamefungwa na Ihefu kwa bahati mbaya na amewaahidi mashabiki wa Yanga Sc,kuwa hakuna timu ya kuifunga tena Yanga, iwe NBC au CAF Champions, mpaka msimu ukaishe makombe yote ni ya Yanga.[emoji23]
e0fc51c48d2f7cbb5e97e62735c424ac.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado nataka wachezaji wa Yanga waliocheza dhidi ya Ihefu wakamatwe na polisi wahojiwe ilikuwaje wakakubali kufungwa ilihali wanaliwakilisha Taifa kwenye mashindano ya CAF. Hiyo ni aibu kwa Taifa pia.
Walifungwa kwa bahati mbaya 😅
 
Yanga wameniabisha kweli. Leo nimeshinda uvunguni tu, siwezi kutoa uso wangu nje kwa aibu niliyo nayo. Itawachukua muda mrefu sana au hata hawataweza kurudi kwenye position ya kwanza kwelnye ligi labda wasaidiwe na Azam au Namunga kuwarudisha Simba chini.

Bado nataka wachezaji wa Yanga waliocheza dhidi ya Ihefu wakamatwe na polisi wahojiwe ilikuwaje wakakubali kufungwa ilihali wanaliwakilisha Taifa kwenye mashindano ya CAF. Hiyo ni aibu kwa Taifa pia.
Pengine waliwakilisha kwa bahati mbaya! Maana hii ni mara ya pili kuchakazwa na

Ihefuuuuuuuuu
Ihefuuuuuuuuu
Ihefuuuuuuuuu
Ihefuuuuuuuuu
Ihefuuuuuuuuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom