GAMONDI ALIWASOMA SIMBA MECHI KADHAA WAKALETA DHARAU

Acha zako mkuu Mimi ni baba wa watoto wawili sawa??
Sawa tumekusikia kolowizard mbumbumbu fc baba wa watoto , haya panda sasa kitandani ulale na fiatu fyako!

Wanayanga tuwe makini ukimsalimia kolo kwa salam mpya ya mjini Ile ya 5G lazima ukae nae mbali laa sivyo makonde yatakuhusu maana Makolo wamejawa na hasira Kali sana Leo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…