Gamondi anapenda mambo ya Kiswahili

Gamondi anapenda mambo ya Kiswahili

Rozela

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2024
Posts
845
Reaction score
2,235
Sikuile tumepigwa 2 na wale wa Sudan, yeye akapost kutuaga na kuonesha kuwa anaikubali sana Yanga.

Leo saa chache kabla ya mchezo kaposti eti anacheza golf ila ukiangalia kwa makini nikama anacheka na ukitumia jicho la kiroho ni kama anamzomea mtu.

Namsihi master Gamond asipost tena mpaka apate timu mpya aanze kuipost hiyo timu.

View: https://www.instagram.com/p/DDSDxODszKj/?img_index=2&igsh=MXUybDgzMm55OWk1Yw==
 
Anakula pension yake. Keshachuma fedha ya jasho lake anakula bata. Bando ni lake ataposti anachotaka🤓🤓
 
Nawewe kwanini utumie jicho la kiroho?
 
Sikuile tumepigwa 2 na wale wa Sudan, yeye akapost kutuaga na kuonesha kuwa anaikubali sana Yanga.

Leo saa chache kabla ya mchezo kaposti eti anacheza golf ila ukiangalia kwa makini nikama anacheka na ukitumia jicho la kiroho ni kama anamzomea mtu.

Namsihi master Gamond asipost tena mpaka apate timu mpya aanze kuipost hiyo timu.

View: https://www.instagram.com/p/DDSDxODszKj/?img_index=2&igsh=MXUybDgzMm55OWk1Yw==

Yanga sasaivi hata mtu akicheka wanahisi wanachekwa wao
 
Back
Top Bottom