Gamondi asitimuliwe

canfi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2022
Posts
1,368
Reaction score
1,477
Ni kweli amepoteza mechi mbili mfululizo, lkn ni kocha gani aliwahi kuifunga Simba mara nne mfululizo zaidi yake? Wana Yanga tusijichanganye? Hata aibu ya karne ya (1 - 5) katubeba yeye.

Kwa upande wa records muhimu, katuvusha kucheza robo fainali (kibabe kwa kumjibu 4 - 0 muarabu Belouizdad), katetea ubingwa wa NBC na CRDB. Naomba tumpe benefit of doubt kwamba aliwakosa defenders muhimu na pia timu ina uchovu wa ratiba ngumu.

Aidha, sometimes wapinzani wanakuwa vizuri zaidi yetu kutokana ma sababu mbalimbali.

Kama kuna mengine ya nje ya uwanja basi uongozi ufanye rational decision
 
Kama 5-1 ni aibu ya karne je 5-0 si itakuwa aibu ya millennium
 
Wamwache tu kwa kweli
 

Attachments

  • Screenshot_20241109-110340_1.jpg
    246.3 KB · Views: 3
Uzuri Hersi si mtu wa mihemko huo ni uzushi, kuna watu walitaka Nabi aondoke baada ya Yanga kutolewa Championship, ila Hersi kakomaa na Nabi mpaka akafika fainali ya shirikisho na baada ya kuifunga Mazembe Nabi akaliongea hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…