Gamondi hamalizi huu Msimu. Ama sivyo Uongozi uangalie namna ya kuifanya Yanga ituletee furaha

Gamondi hamalizi huu Msimu. Ama sivyo Uongozi uangalie namna ya kuifanya Yanga ituletee furaha

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Gamondi ana muda mchache sana Yanga. Naona lile wazo kuwa tumwachie yeye ajipange mwenyewe linakuwa gumu sasa. Gamondi alianza kupandisha mabega akidhani yeye ndo yeye.

Huyu ataondoka ama sivyo akubali sasa kuwa yeye ni wa kawaida viongozi wanambeba sana kwenye ushindi na michakato yake. Hawezi na asilete kiburi.

Nashauri uongozi ukae na Manara wayamalize. Manara anajua anachofanya na mlimuudhi kipindi kile kusema yeye ni wa kawaida.

Soma Pia: Full Time: Yanga SC 1 - 3 Tabora United | NBC Premier League | Azam Complex | November 7,024

Muombeni msamaha. Kisha mwambieni mnataka ushindi kila match. Yataisha haya. Mikia furaha yenu ya muda tu nyie
 
Nini wewe maskini.

Man City kafungwa mara 3 mfululizo sembuse Yanga. Madrid kala 3 juzi kwao ila we kilaza wa mwanalumango unachonga mdomo kama chuchunge humu JF.
 
Gamondi hana mbinu tena
Eng Hersi alete coach mpya
Gamondi ana mbinu 1 timu zishamuotea
 
Athar ya yanga ni kuwa na wachezaji maarufu wengi kama ilivyokuwa PSG
 
Back
Top Bottom