Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Yanga ina changamoto kwenye mfungaji wa mwisho, kwingine kuko sawa kabisa.Leo Azam ashindwe mwenyewe, kiukweli akishindwa kumfunga Yanga Leo hatomfunga tena maishani mwake, Yanga ni mbovu mbovu, inasubiri Dube t aweke.
Upangaji wa kikosi wa Gamondi unatoa shaka kama kweli hawa makocha wa kizungu ni competent au vip.Dah
Vip mkuu No Proff Nabi No Problem. AhhhhLeo Azam ashindwe mwenyewe, kiukweli akishindwa kumfunga Yanga Leo hatomfunga tena maishani mwake, Yanga ni mbovu mbovu, inasubiri Dube t aweke.
Upangaji wa kikosi wa Gamondi unatoa shaka kama kweli hawa makocha wa kizungu ni competent au vip.Dah
Tunasubiri matokeo. Maana kuna watu Mungu kawanyima kabisa mishipa ya aibu.Leo Azam ashindwe mwenyewe, kiukweli akishindwa kumfunga Yanga Leo hatomfunga tena maishani mwake, Yanga ni mbovu mbovu, inasubiri Dube t aweke.
Upangaji wa kikosi wa Gamondi unatoa shaka kama kweli hawa makocha wa kizungu ni competent au vip.Dah
Tunapokea mawazoLeo Azam ashindwe mwenyewe, kiukweli akishindwa kumfunga Yanga Leo hatomfunga tena maishani mwake, Yanga ni mbovu mbovu, inasubiri Dube t aweke.
Upangaji wa kikosi wa Gamondi unatoa shaka kama kweli hawa makocha wa kizungu ni competent au vip.Dah
Singida kesho analala mapema tu ngoma itachezwa jumapili ndio mbichi na mbivu itajulikanaWewe Kolo nani asiye kujua,tushamaliza kazi yetu kazi imebaki kwako na Singida.
Je unasemajeLeo Azam ashindwe mwenyewe, kiukweli akishindwa kumfunga Yanga Leo hatomfunga tena maishani mwake, Yanga ni mbovu mbovu, inasubiri Dube t aweke.
Upangaji wa kikosi wa Gamondi unatoa shaka kama kweli hawa makocha wa kizungu ni competent au vip.Dah
Hawajakutana kashi kashi Azamu hamna timu paleYanga upo uwezekano wakashinda karibia 90% ya mechi zao , kwakua wana punzi na nguvu nyingi.
wamecheza kwa kasi dk zote 90. Wana kabia juu kwa nguvu muda wote kwenye Ligi yetu hakuna timu yenye punzi na nguvu ya kuhimili ali iyo kwa dk 90'
Matokeo ngapi huko ww ndumila kuwiliLeo Azam ashindwe mwenyewe, kiukweli akishindwa kumfunga Yanga Leo hatomfunga tena maishani mwake, Yanga ni mbovu mbovu, inasubiri Dube t aweke.
Upangaji wa kikosi wa Gamondi unatoa shaka kama kweli hawa makocha wa kizungu ni competent au vip.Dah
Nimethibitisha ulichoongeaYanga upo uwezekano wakashinda karibia 90% ya mechi zao , kwakua wana punzi na nguvu nyingi.
Wamecheza kwa kasi dk zote 90. Wana kabia juu kwa nguvu muda wote kwenye Ligi yetu hakuna timu yenye punzi na nguvu ya kuhimili ali iyo kwa dk 90'