Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Klabu ya Yanga leo itatupa karata yake ya kwanza katika michuano ya Caf Champions ligi dhidi ya Vital'O ya Burudi mchezo ambao utachezwa katika dimba la Azam Complex Chamazi saa 10 kamili jioni.
Kocha mkuu wa Yanga Migeul Gamondi amesema wapo tayari kwa mchezo huo na atafanya kila jambo zuri ndani ya uwanja ili timu yake kupata matokeo mazuri.
Kikosi ambacho naona kitakacho kwenda kuivaa leo Vitalo ni hiki hapa
Diarra, Yao Kwasi, Shadracki Boka, Dikson Job, Ibrahim Bacca, Aucho, Mudathiri, Pacome, Max Mpia, Aziz Ki na Price Dube
Mfumo ambao Naona Gamond anawweza kuutumia leo dhidi ya Vital'O 4-3-3 anaweza kupata matoke mazuri zaidi tena kwa idadi kubwa tu ya magoli.
Faida ya Yanga mechi zote na Vital'O kuchezwa hapa Tanzania kama ilivyokuwa katika michezo mingine iliyopita katika mashindao haya ya Caf Champios Ligi.
Soma Pia: CAFCL: Vital'O Vs Yanga | Preliminary Stage 1st Leg | Azam Complex | 17.08.2024
Kazi kwao Wananchi kuiyaza safari ya kufikia malengo yao ya msimu huu.
Kocha mkuu wa Yanga Migeul Gamondi amesema wapo tayari kwa mchezo huo na atafanya kila jambo zuri ndani ya uwanja ili timu yake kupata matokeo mazuri.
Kikosi ambacho naona kitakacho kwenda kuivaa leo Vitalo ni hiki hapa
Diarra, Yao Kwasi, Shadracki Boka, Dikson Job, Ibrahim Bacca, Aucho, Mudathiri, Pacome, Max Mpia, Aziz Ki na Price Dube
Mfumo ambao Naona Gamond anawweza kuutumia leo dhidi ya Vital'O 4-3-3 anaweza kupata matoke mazuri zaidi tena kwa idadi kubwa tu ya magoli.
Faida ya Yanga mechi zote na Vital'O kuchezwa hapa Tanzania kama ilivyokuwa katika michezo mingine iliyopita katika mashindao haya ya Caf Champios Ligi.
Soma Pia: CAFCL: Vital'O Vs Yanga | Preliminary Stage 1st Leg | Azam Complex | 17.08.2024
Kazi kwao Wananchi kuiyaza safari ya kufikia malengo yao ya msimu huu.