comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 3,411
- 4,435
Baada ya kupoteza dhidi ya Tabora bao 3 kwa 1, inawezekana Gamondi akafurushwa kua kocha wa Yanga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri utaonaNdoto za mchana hizi.
Wenye akili huko Utopoloni ni watatu tuBaada ya kupoteza dhidi ya Tabora bao 3 kwa 1, inawezekana Gamondi akafurushwa kua kocha wa Yanga.
Afadhali huko wako watatu, upande ule wote mambumbu.Wenye akili huko Utopoloni ni watatu tu
Kocha yupi alisema Gamondi NI fitness coach?Gamond si juzi kati tu hapa ameongezewa mkataba na mshahara mzito?
Ila ile kauli ya yule Kocha wa timu fulani taratibu naanza kuuelewa mshangao wake kumuona Gamond kama kocha Mkuu.
Jamaa alisema huyu ni fitness coach how come anafundisha kama kocha Mkuu tena kikosi cha kwanza??
Nimeweka doubt hapo
Hapa ni mechi mbili, Sasa mkipigwa mechi 5 mfululizo si mtataka raisi wa nchi ajiuzulu?Baada ya kupoteza dhidi ya Tabora bao 3 kwa 1, inawezekana Gamondi akafurushwa kua kocha wa Yanga.
Rachid TaoussiKocha yupi alisema Gamondi NI fitness coach?