Wabongo aisee kunogesha maneno tupo vizuri. Alichosema Gamond
βKucheza na Al Ahly sio jambo rahisi, tunafahamu ukubwa wa klabu hii na tupo tayari kupambana, ni wasaa wa kuonesha sanaa ya soka letu ni matarajio yangu kuona mchezo mgumu wa kimbinu naheshimu sana daraja la Ahly lakini niwahakikishie hatuna hofu yoyote tumekuja kushindana sio kukamilisha ratiba, malengo yetu ni kushinda mchezo huu" β Miguel Gamondi
vibertzWabongo aisee kunogesha maneno tupo vizuri. Alichosema Gamond
βKucheza na Al Ahly sio jambo rahisi, tunafahamu ukubwa wa klabu hii na tupo tayari kupambana, ni wasaa wa kuonesha sanaa ya soka letu ni matarajio yangu kuona mchezo mgumu wa kimbinu naheshimu sana daraja la Ahly lakini niwahakikishie hatuna hofu yoyote tumekuja kushindana sio kukamilisha ratiba, malengo yetu ni kushinda mchezo huu" β Miguel Gamondi
Kichwa cha habari ulivyoandika utafikiri Gamond kaweka uhakika lazima amfunge Al Ahly.
MAJINI FOOTBALL CLUBMakolo watapinga.
Sawa.wafungeni kama mlivyotakaAkihojiwa na vyombo vya habari,kocha wa CAF Gamondi amenukuliwa akisema kuwa ni full show show.
Ajaenda Misri kukamilisha ratiba na hajaenda kuuza sura
Anasema anaenda kuweka rekodi ya kumfunga Al Ahyl kwake,ambayo ni rekodi
Na siyo tu kumfunga na pia kuongoza kundi
Al Ahyl na wapambe wao wajiandae kisaikolojia