Gangsta's Paradise Ya Coolio, "Huyu Mhenga alikua ni Nouma"

Gangsta's Paradise Ya Coolio, "Huyu Mhenga alikua ni Nouma"

Nyamsusa JB

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2015
Posts
567
Reaction score
1,564
Gangasta's Paradise ni moja ya Miziki mikubwa kabisa kutokea dunia, ngoma hii kali ilirekodiwa mwaka 1995 na mwanamziki Leon Ivey Jr maarufu kwa jina la kisanii Coolio, ndani yake kwenye kibwagizo alisimama mzee mzima mkari wa RnB LV .
Ngoma hii mpaka leo ikipigwa lazima mtu uifeel hata kama wewe sio mhenga.

Kwakweli ngoma kama hii ni adimu sana kuja kutokea na inaweza istokee ngoma kali ya HipHop kama hii.
Yaani utamu unaanzia tu jamaa alivyolianzisha "As I walk through the valley of shadow of Death"
Na baadae kabisa unakutana na mzee mzima LV anakuuliza "Tell me why are we so blind to see, That the ones we hurt are you and me?
Hii Ngoma pia utaipenda zaidi kwenye remix yake ambapo sasa Mhenga mwingine Kuntu Stevie Wonder anaingia na aningiza vocal za kiutu uzima, aisee tupate wapi miziki kama hii.
Coolio mwenyewe hii ngoma imemtesa sana manaake hajawahi kupata ngoma ya dunia kama hii japo ngoma "I C U When You Get There" ilijaribu kidogo lakini haikufuata hata kidogo ngoma hii "Gangsta's Paradise" hii ilifika Platinum ya juu kabisa mwaka 1996.
Nisikuchoshe sana check Live Performance ya hawa jamaa watatu Coolio, LV na Mkongwe Stevie Wounder, alafu wewe ndo utasema sasa.
 

Attachments

80's na 90's was a Golden age of Black Entertainment. Music and Television was so black...Nilikuwa naangalia concert yake moja hivi walikuwa wamejaa wamaza wa kizungu wengi sanaa kitu ambacho siyo rahisi kwa kipindi hiki cha sasa!

Ule wimbo wa see you when you get there walikuwa wanafuatisha mwanzo mwisho! Siku hizi tupo na kina Young Thug na Tunchi, pumba tupu....
 
80's na 90's was a Golden age of Black Entertainment. Music and Television was so black...Nilikuwa naangalia concert yake moja hivi walikuwa wamejaa wamaza wa kizungu wengi sanaa kitu ambacho siyo rahisi kwa kipindi hiki cha sasa!

Ule wimbo wa see you when you get there walikuwa wanafuatisha mwanzo mwisho! Siku hizi tupo na kina Young Thug na Tunchi, pumba tupu....
hahahaha
 
80's na 90's was a Golden age of Black Entertainment. Music and Television was so black...Nilikuwa naangalia concert yake moja hivi walikuwa wamejaa wamaza wa kizungu wengi sanaa kitu ambacho siyo rahisi kwa kipindi hiki cha sasa!

Ule wimbo wa see you when you get there walikuwa wanafuatisha mwanzo mwisho! Siku hizi tupo na kina Young Thug na Tunchi, pumba tupu....
Hahaha kweli mkuu hyo concert hata mi nmeiona,sio inaanza hivi coolio anaingia na kibaskeli jukwaani au sio?
 
Waafrika na watu wengine wote wenye asili ya uafrika au weusi nadhani kitu pekee ambacho tumebarikiwa ni kutunga mashairi.

Kwa ushairi sidhani kama kuna mtu anatushinda. Hakuna rangi inayoweza kupambana na sisi.

Been spending most of our lives living in gangsters paradise.
 
80's na 90's was a Golden age of Black Entertainment. Music and Television was so black...Nilikuwa naangalia concert yake moja hivi walikuwa wamejaa wamaza wa kizungu wengi sanaa kitu ambacho siyo rahisi kwa kipindi hiki cha sasa!

Ule wimbo wa see you when you get there walikuwa wanafuatisha mwanzo mwisho! Siku hizi tupo na kina Young Thug na Tunchi, pumba tupu....
coolio peke yake ndo alikua mtu mweusi pale sijui kwanini ilikua hivyo
Waafrika na watu wengine wote wenye asili ya uafrika au weusi nadhani kitu pekee ambacho tumebarikiwa ni kutunga mashairi.

Kwa ushairi sidhani kama kuna mtu anatushinda. Hakuna rangi inayoweza kupambana na sisi.

Been spending most of our lives living in gangsters paradise.
[Verse 1: Coolio]
As I walk through the valley of the shadow of death
I take a look at my life and realize there's nothin' left
‘Cause I've been blastin' and laughin' so long
That even my momma thinks that my mind is gone

But I ain't never crossed a man that didn't deserve it
Me be treated like a punk, you know that's unheard of

You better watch how you talkin' and where you walkin'
Or you and your homies might be lined in chalk

I really hate to trip, but I gotta loc
As they croak, I see myself in the pistol smoke
Fool, I'm the kinda G that little homies wanna be like
On my knees in the night, sayin' prayers in the street light

[Hook 1: LV]
Keep spending most our lives
Livin' in a gangsta's paradise
Been spending most their lives
Livin' in a gangsta's paradise
We keep spending most our lives
Livin' in a gangsta's paradise
We keep spending most our lives
Livin' in a gangsta's paradise


[Verse 2: Coolio]
Look at the situation they got me facin'
I can't live a normal life, I was raised by the street
So I gotta be down with the hood team
Too much television watching, got me chasing dreams
I'm a educated fool with money on my mind
Got my ten in my hand and a gleam in my eye
I'm a loc'd out gangsta, set trippin' banger
And my homies are down, so don't arouse my anger
Fool, death ain't nothin' but a heart beat away
I'm livin' life do or die, what can I say?
I'm 23 now, will I live to see 24?
The way things is going I don't know


[Hook 2: LV]
Tell me why are we so blind to see
That the ones we hurt are you and me?


[Hook 1]
Keep spending most our lives
Livin' in a gangsta's paradise
Been spending most their lives
Livin' in a gangsta's paradise
We keep spending most our lives
Livin' in a gangsta's paradise
We keep spending most our lives
Livin' in a gangsta's paradise

[Verse 3: Coolio]
Power and the money, money and the power
Minute after minute, hour after hour
Everybody's running, but half of them ain't lookin'
It's going on in the kitchen, but I don't know what's cookin'
They say I gotta learn, but nobody's here to teach me
If they can't understand it, how can they reach me?
I guess they can't, I guess they won't
I guess they front; that's why I know my life is out of luck, fool!


[Hook 1]
Keep spending most our lives
Livin' in a gangsta's paradise
Been spending most their lives
Livin' in a gangsta's paradise
We keep spending most our lives
Livin' in a gangsta's paradise
We keep spending most our lives
Livin' in a gangsta's paradise

[Hook 2]
Tell me why are we so blind to see
That the ones we hurt are you and me?

Tell me why are we so blind to see
That the ones we hurt are you and me?
 
Back
Top Bottom